Wahandisi waliosajiliwa wananufaikaje?

Wahandisi waliosajiliwa wananufaikaje?

Underdog

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
343
Reaction score
444
Bila shaka mu bukheri wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku.

Leo ningependa tujadiliane kidogo kuhusiana na manufaa tuyapatayo sisi Wahandisi tuliosajiliwa (Professional Engineers).

Kwa Wahandisi tofauti na wale Civil Enginners, tuchukulie mfano Mechanical Engineers na wengine, tupeane uzoefu wa ni namna gani tunavyo(weza)nufaika na mihuri yetu. Tupo uzoefu wako wa namna unavyojinufaisha .

Ahsante sana.
 
Kumbe hjwa mnanufaika na mihuri halafu hamsemi? Watu ni wasiri sana..
 
Kwa Wahandisi tofauti na wale Civil Enginners, tuchukulie mfano Mechanical Engineers na wengine, tupeane uzoefu wa ni namna gani tunavyo(weza)nufaika na mihuri yetu. Tupo uzoefu wako wa namna unavyojinufaisha .
Tafuta kwanza connection uone itakavyokunufaisha.
 
Bila shaka mu bukheri wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku.

Leo ningependa tujadiliane kidogo kuhusiana na manufaa tuyapatayo sisi Wahandisi tuliosajiliwa (Professional Engineers).

Kwa Wahandisi tofauti na wale Civil Enginners, tuchukulie mfano Mechanical Engineers na wengine, tupeane uzoefu wa ni namna gani tunavyo(weza)nufaika na mihuri yetu. Tupo uzoefu wako wa namna unavyojinufaisha .

Ahsante sana.
ERB ni genge la wapuuzi waliopo kukamua pesa tu ,hamna la maana wanalofanya , wao ndio walitakiwa wawe mstari wa mbele kupigania maslahi ya wahandisi kwenye vitu kama ajira nk ,lakini utashangaa kuna kundi la Proffessional engineers wapo kitaa ajira hamna na hata mihuri yao hawawezi kutumia kwa opportunities zozote kujiingizia kipato maana fursa hamna .
Ni ujinga sana ,why ? ERB wasiwe mstari wa mbele hata kuangaza opportunities za ajira Kwa engineers huko Nchi za nje ? , Kuna nchi zinahitaji engineers Sana lakini kinachoendelea hapa Bongo ni upuuz ,utakuta Engineer anaendesha bodaboda wtf ! ,Hivi hii nchi ina akili kweli ? Halafu tunaita siku moja kuwa industrialised country au nchi yenye uchumi mkubwa .

Speaking from my own experience .
ERB na EIT ni foolish institutions
 
Ndio maana hata engineers wengi nowdays wanaona bora kuwa graduate engineers Tu , Hamna incentives zozote za kuwa Proffessional Engineer ,upuuz Sana
 
Back
Top Bottom