Ama kwa hakika Maisha yanaenda kasi sana. Wachezaji waliokuwa magarasa kiasi cha kuwachukiza Wanasimba na kufikia hatua ya kutaka kutolewa kwa Mkopo Nyota zao zimeanza kung'aa masaa 72 tu baada ya mgomvi wao kuondoka.
Haitashangaza Miraji Athumani akiiibuka Mfungaji bora wa Mashindano ya Mapinduzi. Na yule Kiungo Kijiko Virasta Kahata mechi ya Jana dhidi ya Mtibwa ndiye kachaguliwa Man of The Match! Kagere ndiye kapewa kitambaa cha Unahodha kabisaaaa!
Wakati mwingine tuepuke kukata tamaa pale tunapohisi Maboss wetu wanatuwekea Mtima nyongo. Poleni sana Kahata, Sheva, Kagere Et Al kwa magumu yote mliyopitia chini ya Kishingo. Sisi wanaSimba Tunaimani na nyinyi endeleeni kuipambania timu mpaka tufike Nusu fainali ya Champions💪💪💪
Haitashangaza Miraji Athumani akiiibuka Mfungaji bora wa Mashindano ya Mapinduzi. Na yule Kiungo Kijiko Virasta Kahata mechi ya Jana dhidi ya Mtibwa ndiye kachaguliwa Man of The Match! Kagere ndiye kapewa kitambaa cha Unahodha kabisaaaa!
Wakati mwingine tuepuke kukata tamaa pale tunapohisi Maboss wetu wanatuwekea Mtima nyongo. Poleni sana Kahata, Sheva, Kagere Et Al kwa magumu yote mliyopitia chini ya Kishingo. Sisi wanaSimba Tunaimani na nyinyi endeleeni kuipambania timu mpaka tufike Nusu fainali ya Champions💪💪💪