Wahaya mmeshindwa kabisa kufuga senene?

Wahaya mmeshindwa kabisa kufuga senene?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Wandugu ina maana mmeshindwa kabisa kufuga senene tule mwaka mzima?

Wamarekani wanakula mdudu mmoja anafanana na senene anaitwa Cricket kwa Kiswahili nyenje au nyenze. Wameanza kumfuga na ni biashara kubwa sana.

Fanyeni mambo tupate senene mwaka mzima. Dunia inakoenda wadudu watakuwa ni source kubwa sana ya protini.

 
Actually… mnaleta dharau… sisi wahaaaya.. tunawaachia hao masikini wakizungu wafuge.. sisi tunafugiwa na ardhi. So don’t make noise. Wakina bishaija na biashaire hatuwezi fuga senene wewe. Unaeereeewaa???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana leo
 
Ngoja na mimi huku milimani nianze kufuga hawa wadudu wanaoitwa NGEDA! Wana harufu kiaina, lakini wakikaangwa vizuri hugeuka na kuwa watamu sana.
 
Wandugu ina maana mmeshindwa kabisa kufuga senene tule mwaka mzima?

Wamarekani wanakula mdudu mmoja anafanana na senene anaitwa Cricket kwa Kiswahili nyenje au nyenze. Wameanza kumfuga na ni biashara kubwa sana.

Fanyeni mambo tupate senene mwaka mzima. Dunia inakoenda wadudu watakuwa ni source kubwa sana ya protini.

Uko sahihi sanaa, sema kule kwetu kuna kasumba kutopenda kubadilika. Mpaka leo tunabishana na wazee kuhusu saula zima la kubadilisha mazao ili wasitegemee ndizi tu, ikawa vita lakini naamini vijana watafanya mabadiliko.

Hili inabidi lifanyiwe utafiti mkubwa na Wizara ya Kilimo na Chuo cha Sokoine, naamini wakitaka kuandaa huu mradi watapata wafadhili wengi sana ndani na je ya nchi.
 
Naona unaleta dharau kwa nshomile kamugisha, subiri hapo uoge povu......
 
Back
Top Bottom