Wahaya wanadai makamu wa Rais Marekani ni damu yao

Wahaya wanadai makamu wa Rais Marekani ni damu yao

Machame Juu

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
1,514
Reaction score
3,363
Baadhi ya wahaya wanadai na wako serious makamu wa Rais mpya wa Marekani Kamala Harris ni damu yao. Labda utetezi wao ni kutokana na jina lake la kwanza.

Ki ukweli Kamala Harris baba yake ni asili ya Jamaica aliyehamia Marekani Donald Harris na mama yake Shyamala Gopalan ni mhindi aliyehamia Marekani na kufariki 2009 kwa kensa.

Wa Jamaica na wahindi wana iyo haki ya kusema ni damu.
 
Biden katokea Longido, tunaita Loongitroo.
 
Babu yake kwa upande wa baba akiitwa MUSHAIJA KAMALA!! Mmesahau kuwa kulikuwa na WAJAMAICA wengi sana wakiishi pale Bukoba na Moshi?
 
Actually babu yake ametokea kamachumu muleba
 
Back
Top Bottom