Wahaya wote inawahusu!!!


hii mada inachefua kweli. Vp rais akiwa mhaya!!!! dah, masifa camp jamani!!
 
Hii mada ni ya mwaka jana lakini naona imerudishwa tena baada ya kitambo kirefu.


Kwa taarifa tu ni kwamba, mchakato wa kufahamiana umeenda vizuri na sasa tuko kwenye hatua za mwisho za kuform vikundi mbalimbali vya wahaya hapa chuoni(UDSM) vitakavyojihusha na uhamasishaji wa wenzao huko mitaani pindi semister itakapo isha.


Napenda kutoa shukrani kwa wahaya wote walio nipa ushirikiano wa hali na mali katika kufanikisha hili. Ni matumaini yetu sote kuwa lengo tuliloweka lazima litimie ili tuondokane na ujing
 
1. Kwa takwimu za siku za Karibuni (Household Budget Survey 2010/2011).. Kagera is the economically 2nd poorest region in Tanzania only bitting Singida! Dar is the richest, followed by Mwanza, Arusha, Kilimanjaro!!

Watu wa Kagera acheni kutamba!!! Wekezeni Kagera kama watu wengine wanavyowekeza katika Mikoa yao!

2. Why? Kagera is fertile region, it has learned population (some who in fact stay in Oysterbay), it is bordering many countries (Uganda, Rwanda and Burundi), plenty of fish! n.k, n.k

Sasa mimi sijui kwa nini mkoa huu uanzidi kuwa nyuma wakati kuna raslimali zote hapo juu!

Natoa hoja




 
Duh hasira na wivu tu. Wahaya ni wahaya. Hata. Ukienda Musoma lazima nao wana watu wao, kuishi mkoani kwao sio lazima wakuhusishe na mambo yao ya esp vijijini.

Sio mkoani kwao wewe,mkoa ni wetu sote.Hili la kuendeleza kabila lao ndo shida,angeweka heading kwamba WANA KAGERA WOTE HILI LINAWAHUSU.Tofauti na hapo,na akiendelea ivo,ndo yale yale ya Wahutu.
 
Hapa sijaona ukabila, anataka wahaya wasaidiane kwenye elimu na kwa fursa hii na nyie wasukuma, wachaga, wanyakyusa, wahehe makabila yote itaneni msaidiane katika elimu ili mwisho wa yote makabila yote yawe yamesoma. Nani ataumizwa na huu utaratibu huu.
Angesema wahaya wote msio na kazi njooni kwenye wizara fulani au kitengo fulani cha serikali muulizie fulani. Huo ndiyo ukabila. kuwanyiama au kuwapa watu fursa kwasababu ya kabila lao. Tungemuwashia moto

Hapa anaitisha kitu ambacho wenzetu wakenya wanakiita Harambee na sio ukabila. Hilo la kutaja course yake ni ile wakale walisema jasiri haachi asili.
 
watanzania kawaida yetu ni maselfish sana ndio maana hata kazi watu wanapeana kimtindo mtindo......kwahiyo network mnayotaka kuitengeneza nayo itakuwa na madhumuni ya kibinafsi kama yakupena job!
 
Samehe bure,ukabila utakwisha taratibu kadiri miaka inavyokwenda.mbona tunaoleana kwa sana siku hizi, ipo siku tutakuwa kabila moja la watanzania.
 
Mimi sitoke bukoba ila jitihada zako mali kwelikweli. Badala ya kuitwa mkabila mikoa yote hasa pwani lindi na mtwara walioko vyuoni igeni badala ya kuwasikiliza waongo eti kuna mfumo kristo.
 
Wazo zuri ila rekebisha sema wana kagera woote, wazo zuri sana, saidianeni masuala ya elimu na kiuchumi achaneni na mambo ya urais mtaonekana wakabila.
 
Mkuu wazo lako ni zuri ila ungetumia wanaKAGERA,CIO WAHAYA!!sababu hata nyie ndani ya hao Wahaya Mnabaguana!!!
 
Kusema kweli takwimu hizo huwa zinanishangaza sana!kwani nikiangalia umasikini wa Dodoma sidhani kama umaskini huo upo Kagera!Inafika mahali nalazimika kuamini huenda takwimu hizi hupikwa tu kwa malengo yasiyoeleweka!Mikoa inayopiga kelele sana kuwa imetelekezwa kimaendeleo mf Lindi,Mtwara na Kigoma ni ya ngapi?Ila nawapa Hongera Nshomire kwa kuweka mikakati ya kimaendeleo.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nisivopenda masifa ingekua hiar yang nawatia kiberiti
 
Ni muhimu sana kukumbuka nyumbani. naunga mkono

 
Naunga mkono kabisa, suala la kuendeleza sehemu yako ya asili si ukabila. Lazima watu waelewe tafsiri halisi ya ukabila nini? Huwezi kusaidia watoto wajirani wakati wa kwako wanalia njaa. Hata misaada tunayopata kutoka ulaya, marekani na mabara mengine ni masazo tu.

Ndiyo maana maeneo mengi ya vijijini hayaendelee kwa sababu ya dhana ya Ukabila. Nyie vijana mimi binafsi nawaunga mkono. Endapo nitakuwa na uwezo wa kusaidia nitasaidia.

Aluta Kontinua.
 
ukabila bado upo ,, na hawa wahaya ndo wenyewe.... pale mlimani wamejazana kama uchafu ,,, kila depertment imejaa wahaya ,,,,, sehemu ambayo wameshindwa kupenya ni UDBS tu peke yake....

Tueleze ni kitu gani kimewashinda kupenya UDBS?
 
Nachokiona ni hatred kwa watu ila kama ulivyosema maendeleo ni watu,kaeni pamoja msaidie nyumbani nami niko nanyi pa1
 
Ni vizuri kuhamasisha madanguro ya wahaya waach... Mana naskia ata buku 2 unamaliza shughuli yako kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…