Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
Walimu kweli hawa, mbona hawana chaki mikononi
Mwaka Gani?Huyo mwenye afro ananikumbusha Mrs Lyimo
Zanaki p/school - Upanga............
Mwaka Gani?
Kweli hii picha ni ya miaka ya 70 , lakini mwaka 72 sidhani .Huyo mweusi mfupi alievaa gudiree Ni Mwalimu wetu wa shule yetu ya msingi ipo Jirani kidogo na soko kuu, anaitwa Mwalimu Madam alikuwa anatuuzia sukari guru na pipi mti....mwaka 1972 mikoroshini primary.
Hata mimi huyo mwenye afro ana nikumbusha mrembo Mwalim Ludovic , Upanga Primary school ,mwaka 1984 -, Inawezekana nime sahau jina vizuri au labda alilewa na kuja kuwa Mrs Lymo.Huyo mwenye afro ananikumbusha Mrs Lyimo
Zanaki p/school - Upanga............
Inawezekana..Hata mimi huyo mwenye afro ana nikumbusha mrembo Mwalim Ludovic , Upanga Primary school ,mwaka 1984 -, Inawezekana nime sahau jina vizuri au labda alilewa na kuja kuwa Mrs Lymo.
Duh ,Mwalimu NdossiInawezekana..
Enzi za ndossi watatu....
Unawajua hao?Duh ,Mwalimu Ndossi
RIPDuh ,Mwalimu Ndossi