Wahenga mnamkumbuka mwanandinga huyu?

Wahenga mnamkumbuka mwanandinga huyu?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Nani anamkumbuka mchezaji huyu?
842c49b1f6879a53645edf383900d8e7.jpeg
 
Hamnaaaa.... Mauro Camoranes huyo
Uko sawa bin sawia.

Huyo ni Mauro Camoranesi mzaliwa wa jijini Bunos Aires nchini Argentina, ambapo alitamba katika klabu ya Juventus Turin almaarufu kama Kibibi Kizeeakicheza kama kiungo/winga wa kulia.

Licha ya kuzaliwa Argentina, aliamua kuchukua uraia wa Italia na kuitumikia nchi hiyo kikamilifu.

Ni mshindi wa Kombe la Dunia, alitwaa akiwa na timu ya taifa ya Italy mwaka 2006 katika fainali zilizofanyika nchini Ujerumani.
 
Namkumbuka Carmonez na babu Pirlo pamoja na Gattuso walikuwa hatari
 
Back
Top Bottom