Wahenga tu: Camera Man wa enzi hizo,

Wahenga tu: Camera Man wa enzi hizo,

.
FB_IMG_1586329169406.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 ,5 ,10 na 12 nimecheka sana, hivi kumbe wadada wa kizamani walikuwa wanadanga kwa ma camera man kama hawa wa sasa ambao ukiwa na camera ua DSRL umewapata
 
mimi nakumbuka picha kuungua😂 na ma camera man wengine walikuwa washenz ukichelewa kufata picha yako anaitundika kwenye ubao studio kwake kwa nje afu kuna bango WADAIWA SUGU
 
Mkuu hizo sifa zote yaani umepita mule mule..
Ama kweli kila kitu na enzi zake.. kama sasa hivi watu wenye magari wanavyotesa makameramani wametunyoosha sana..

Unakuta inapigwa picha unefumba macho lakini huna namna lazima uichukue.

Kuhusu vi baskeli vile vya phoenix sijui nani aliwaambia kila cameraman awe nacho🤗😂😂😂😂
 
Mkuu hizo sifa zote yaani umepita mule mule..
Ama kweli kila kitu na enzi zake.. kama sasa hivi watu wenye magari wanavyotesa makameramani wametunyoosha sana..

Unakuta inapigwa picha unefumba macho lakini huna namna lazima uichukue.

Kuhusu vi baskeli vile vya phoenix sijui nani aliwaambia kila cameraman awe nacho[emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
Huwez kupewa kazi kama ulikuwa huna vile,labda wakuonee huruma sana!
Old is gold kwa hakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hizo sifa zote yaani umepita mule mule..
Ama kweli kila kitu na enzi zake.. kama sasa hivi watu wenye magari wanavyotesa makameramani wametunyoosha sana..

Unakuta inapigwa picha unefumba macho lakini huna namna lazima uichukue.

Kuhusu vi baskeli vile vya phoenix sijui nani aliwaambia kila cameraman awe nacho🤗😂😂😂😂
ni ka desturi ka mtanzania kuigana ,mkuu kuanzia moshi,singida,tabora mpaka geita zile fremu za maduka zimejengwa kwa kufanana muonekano unaweza kudhani tuna fundi ujenzi
[emoji23][emoji23]
umenifurahisha sana asee eti “WADAIWA SUGU”..kipindi hicho wao ndo final say!

Sent using Jamii Forums mobile app
😂hawa watu walisumbua sana, wengine waliojiona ni wale wamiliki wa cabble tv,mchezaji akikaribia gorini wanakata channel watakuja kurudisha goli likiwa lishafungwa hii ilikua ni kutuhamasisha tukaangalie tv kwenye biashara zao ambapo napo unalipia
 
ni ka desturi ka mtanzania kuigana ,mkuu kuanzia moshi,singida,tabora mpaka geita zile fremu za maduka zimejengwa kwa kufanana muonekano unaweza kudhani tuna fundi ujenzi

[emoji23]hawa watu walisumbua sana, wengine waliojiona ni wale wamiliki wa cabble tv,mchezaji akikaribia gorini wanakata channel watakuja kurudisha goli likiwa lishafungwa hii ilikua ni kutuhamasisha tukaangalie tv kwenye biashara zao ambapo napo unalipia
hahaha
ashukuriwe Mungu teknolojia imesaidia snaa.japo vya zamani vitakumbukwa sana asew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Songea walikuwa na studio 2, Umoja photo studio na nyingine nimesahsu. Kameraman maarufu akiitwa "VYAKUMINYA" alivalia km Mikael Jackson NA KUKALIKITI NYWELE, alishafariki, mwingine aliitwa "MPENDA" yupo hadi leo.. Kwa vile Nilikuwa mdogo naamini walikulaga sana mademu wazuri wa enzi hizo wakiitwa VI/KISHTOBE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Songea walikuwa na studio 2, Umoja photo studio na nyingine nimesahsu. Kameraman maarufu akiitwa "VYAKUMINYA" alivalia km Mikael Jackson NA KUKALIKITI NYWELE, alishafariki, mwingine aliitwa "MPENDA" yupo hadi leo.. Kwa vile Nilikuwa mdogo naamini walikulaga sana mademu wazuri wa enzi hizo wakiitwa VI/KISHTOBE

Sent using Jamii Forums mobile app
nahisi wakati huo alikuwa na umaarufu mkubwa sana![emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom