Hizi zinamhusu Mr Mzungu Mbelgium & mwenzake Kgg2014, esp namba 6: ^Njia ya mwongo fupi^
Tutegemee uongo kama maungo mengine yake --- he has nothing to lose, whether he speaks truth or lies. Anajua amesema uongo mwingiiiiii lazima aufunike kwa uongo mwingine. Wapenda uongo & fitina & umbeya & uzushi mtazidi kudanganywa sana tu, mwisho kwenu uongo ndio utakuwa ukweli na ukweli uongo. Kazi kwenu!!! Lakini kumbukeni JPM aliposema ^Hapa Kazi Tu^ hakuwa na maana ya hiyo kazi dufu ambayo mmejichagulia nyie vibweterere.