WAHENGA WALISEMA...!!!!!!!

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
WAHENGA WALISEMA CHOZI LA SAMAKI LINAKWENDA NA MAJI....

Mimi nasema CHOZI LA MWANAMKE HUMLAANI MWANAUME ALIYE UMIZA MOYO WAKE!

Mara nyingi mwanamke huingia katika mahusiano ili KUITETEA AMANI YA MOYO WAKE

lakini mwanaume huingia katika mahusiano ili KUUPA MWILI WAKE HAJA YAKE.

NIWAKUMBUSHE TU KWAMBA MACHOZI YA MWANAMKE HUWA HAYAPOTEI BURE
 
Chozi la mwanamke huja akijua huna account ya M-pesa.

Mwanamke humwaga chozi alipo hadaika na mavazi kumbe kakutana na bazazi.[emoji12]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…