Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Amani iwe kwenu. Aisee tumetoka mbali sana, ashughulikiwe aliyegundua simu hasa za mkononi.
Ilikuwa mtu unafunga safari kwenda kumtembelea mtu unakuta na yeye kasafiri.
Kupata taarifa za msiba ilikuwa shughuli kupata maana mtu anaandika barua inafika baada ya miezi mitatu. Nakumbuka sisi alifariki ndugu yetu mwezi wa nne taarifa tukapata mwezi wa saba.
Hata wachepukaji kipindi hiki walikuwa wanachepuka kwa ugumu sana tofauti na sasa.
My sister anasema mzee alikuwa anatembea kwa mguu hadi chuoni kwake kumpelekea pesa ya matumizi ( ni mwendo kama wa masaa nane)
Karibuni
Ilikuwa mtu unafunga safari kwenda kumtembelea mtu unakuta na yeye kasafiri.
Kupata taarifa za msiba ilikuwa shughuli kupata maana mtu anaandika barua inafika baada ya miezi mitatu. Nakumbuka sisi alifariki ndugu yetu mwezi wa nne taarifa tukapata mwezi wa saba.
Hata wachepukaji kipindi hiki walikuwa wanachepuka kwa ugumu sana tofauti na sasa.
My sister anasema mzee alikuwa anatembea kwa mguu hadi chuoni kwake kumpelekea pesa ya matumizi ( ni mwendo kama wa masaa nane)
Karibuni