Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
Binafsi niseme tu hawa waheshimiwa Tx-Moshi, Mzee Gurumo, Mbwembwe, Mzee Mabera, Mahina, Momba na wengine ambao sikuwataja na bendi zao walifanya kazi kubwa kwani mziki wao bado unaishi kwa kuelimisha umma wa watanzania na kuburudisha. Walikuwa na umahili katika fani zao.
Binafsi licha ya kuwa wengi hatunao ila Mungu aliwatumia kama zawadi katika taifa letu katika tasinia ya mziki. Kabla ya mziki wa sasa wa vijana hawa na wengine ndiyo walifanya kazi kubwa ya kuburudisha na kuelimisha kupitia nyimbo zao.
Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani waliyokwisha tangulia mbele za haki.
Binafsi licha ya kuwa wengi hatunao ila Mungu aliwatumia kama zawadi katika taifa letu katika tasinia ya mziki. Kabla ya mziki wa sasa wa vijana hawa na wengine ndiyo walifanya kazi kubwa ya kuburudisha na kuelimisha kupitia nyimbo zao.
Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani waliyokwisha tangulia mbele za haki.