Je umewaza kumiliki mjengo wako wa maana kwa Pesa yako yakuchanga changa.
Sasa hii ni kwaajili yako mpenda vya rahisi.
Wahi kabla haija.....
_Jamani kuna nyumba inauzwa *milioni 8 tu* ipo vizur ina vyumba 3 kimoja master, choo cha public sebule fensi parking ipo_
*Ina alama ya [emoji777] lakini ukifuta inafutika*
[emoji15][emoji15][emoji15]