Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Sijatumia huu mtandao miaka mingi..basi nkapata plan ya biashara ila nkapanga nibase kotekote.. Yani physical na online
Nimeanza na instagram japo sijaweka picha.angalau followers wanakujakuja
Basi nkaona nije kuandaa wateja wengine facebook.. Nimedownload account jana nkafungua baada ya masaa machache kimya. Nlipoamua kuweka picha tu nakuta friend request 200
Sawa nkawakubalia ila shida sasa ni wahindi na waarab. Yani mda wote ni ngrrngrr utadhani nimekua customer care.. Ubaya wake wanaongelea ngono tu..
Video calls mda wote simu haizimi
Wanatuma picha za uchi kama wehu
Nkajiuliza vjpi nimeeka sura tu?
Nikimblok huyu mwingine anafuatia.. Nimeblok hadi nimechoka bado tu halafu hadi vibabu
Nikaamua nifute picha bado wanakuja
Nimeamua tu nifute akaunti
Hivi sasa napumua
Hivi kwenu wengine inakuwaga hivihivi?
Nimeanza na instagram japo sijaweka picha.angalau followers wanakujakuja
Basi nkaona nije kuandaa wateja wengine facebook.. Nimedownload account jana nkafungua baada ya masaa machache kimya. Nlipoamua kuweka picha tu nakuta friend request 200
Sawa nkawakubalia ila shida sasa ni wahindi na waarab. Yani mda wote ni ngrrngrr utadhani nimekua customer care.. Ubaya wake wanaongelea ngono tu..
Video calls mda wote simu haizimi
Wanatuma picha za uchi kama wehu
Nkajiuliza vjpi nimeeka sura tu?
Nikimblok huyu mwingine anafuatia.. Nimeblok hadi nimechoka bado tu halafu hadi vibabu
Nikaamua nifute picha bado wanakuja
Nimeamua tu nifute akaunti
Hivi sasa napumua
Hivi kwenu wengine inakuwaga hivihivi?