Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Waliambiwa kuwa Kampuni hii ni Kisanii sana na wao wakasema kuwa ni uongo na maneno ya Mitaani sasa Tazameni nyinyi mwenyewe
unajua nchi yangu tanzania haina dira, viongozi sijui wakoje
hawa si ndo serikali ilikuwa inawasaidia kulipa mishahara????!!!!
sasa yako wapi?
Singependa kuamini hii habari, na kama ni kweli basi itakuwa scandal kubwa sana:
"
RITES, a Government of India Enterprise, provides comprehensive engineering, consultancy and project management services in the transport infrastructure sector under single roof. Since its inception in 1974, company has made steady progress and diversified into new areas of business such as, export/leasing, maintenance and rehabilitation of railway rolling stock, operation and maintenance of railway systems under concession agreements and BOT, BOOT and PPP projects.
Presently, we have over 600 on-going projects in India besides over 30 projects overseas". www.rites.com
Sijaelewa hizi mamlaka zinahusika kama kweli zipo au wanajua uchaguzi mwakani??hata kama ni shamba la bibi, serikali ianze kuwatia pingu Wabongo waliofanikisha mpango ule -- Sir Andy Chande (sijui kwa nini Mzee Mengi hakumtaja mdosi huyu katika ile list yake ya 'mapapa') na Andrew Chenge -- kama alipona kwa radar, basi hili asipone. Mwingine ni BWM.
Serikali yetu na angalau iamke kidogo na kujali jinsi wananchi masikini wanavyoibiwa na ianze kamata kamata.
tatizo viongozi wetu ndio wamekuwa sehemu kubwa ya kuchangia matatizo kuliko kutatua matatizo.hawana mapenzi na nchi yetu.kweli hili ni balaa, lakini inakuwaje wananchi wa kawaida tutaona kabisa hiki kitu hakifai lakini serikali na viongozi wakuu wanakuwa ndio mstari wa mbele kuwatetea, hivi kwelim kuna mwekezaji gani kweli anawekeza lakini hana hata pesa anatregemea asset ulizompa aende kukopea pesa,
Dingswayo:
Kwani sisi hatukuweza kuendesha shirika la reli mpaka waje wahindi? Wasomi wetu wamekwenda wapi? Vyuo vikuu vinafanya nini...havitoi graduates?
Kila issue ya wizi wa mamilion mhindi(Watanzani wenye asili ya Asia) hakosekani yaani hawa mpaka tuko.
Hivi yale mabomu ya Mbagala ntapata wapi nikajimalize pale upanga na kaliakoo naweza wapunguza.
hata kama ni shamba la bibi, serikali ianze kuwatia pingu Wabongo waliofanikisha mpango ule -- Sir Andy Chande (sijui kwa nini Mzee Mengi hakumtaja mdosi huyu katika ile list yake ya 'mapapa') na Andrew Chenge -- kama alipona kwa radar, basi hili asipone. Mwingine ni BWM.
Serikali yetu na angalau iamke kidogo na kujali jinsi wananchi masikini wanavyoibiwa na ianze kamata kamata.
hata kama ni shamba la bibi, serikali ianze kuwatia pingu Wabongo waliofanikisha mpango ule -- Sir Andy Chande (sijui kwa nini Mzee Mengi hakumtaja mdosi huyu katika ile list yake ya 'mapapa') na Andrew Chenge -- kama alipona kwa radar, basi hili asipone. Mwingine ni BWM.
Serikali yetu na angalau iamke kidogo na kujali jinsi wananchi masikini wanavyoibiwa na ianze kamata kamata.
Yametimia, na hili tulilitegemea tu!. Kwani watu walisema weeeeeee, lakini tukaishia kuambiwa RITES ndo mkombozi, kumbe Mkombaji!