Wahindi Walalamikia Ukubwa wa Kondomu

Doooh Baba V amepata company sasa mpo wangapi?
 
Last edited by a moderator:
mimi zilizopo hapa EA hazinitoshi, ni za saizi ndogo....naomba anwani ya watengenezaji ili watengeneza za saizi yangu
 
huu ni uchokozi, kweli kabisa

Kuna uchokozi gani hapo kama ni swala ambalo limefanyiwa utafiti, labda cha kuhoji ni chanzo cha taarifa hiyo na ni kina nani walifanya huo utafiti husika.
 

Huu ndiyo wakati mwafaka kwa wamasaai wenye pharmacy zinzotembea na hadi kuwa kero katika Bar kujitanua kibiashara. Moja ya product yao wanayoitangaza sana ni DAWA YA KUONGEZA UKUBWA+UREFU wa mtaimbo. Wakiwezeshwa wanaweza kuwasaidia Wahindi na VIPIPI vyao!
 
habari hii nakubaliana nayo kabisa wahindi wanavibamia kuna rafiki yangu alienda kusoma india ukweli alikuwa hajatulia chuo kizima yeye ndio alikuwa ana uume mkubwa wanawake wakihindi walikuwa wanashangaa sana maumbile yake walimtumia sana na walikuwa wanasimuliana kwa siri sana si unajua tena india kwa utamaduni zao sio kujiachia achia ila mwisho wa siku walimharibu rafiki yangu akaambulia HIV sasa hivi yupo anaishi kwa matumaini yupo fresh anatumia dawa mwaka wa nne huu, anasema alikuwa anajua wahindi ni waaminifu hawana HIV kumbe alijidanganya
 
Mkuu UKI, hivi wahindi hawana ubaguzi kweli kama waarabu?
Nafikiri wanachukuana wao kwa wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…