BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Nilipewa hii habari juzi kati na ni kweli kwamba Wahindi wanao kaa Tanzania, hata Kenya pia, na kwingineko watoto wao walio zaliwa huku huku huwa wakisha fikisha umuri fulani wanapelekwa India either Kusoma au kwenda kujifunza Ubaya.
Hata kama kaenda kusoma India pia lazima akajifunze na Ubaya.
Huo ukari na ubaya ni kwamba huwa kuna watu maalumu wako India na hulipwa pesa kwa kazi hio,maalumu huwafundisha Vijana ambao hawajazaliwa India na kuwapigisha kambi kwenye yale maeneo yanye kiwango cha juu mno cha umasikini kule India ambako watu hawana makazi na wanalala mitaroni, wanaishi kwa kuzibua vyoo na kadhalika.
Kule hukaa kwa muda wa hadi mwaka mzima kwa wao kuzungushwa kuona Umasikini yaani hawapelekwi maeneo mazuri yenye matajiri hapana hupelekwa maeneo yenye umasikini mkubwa na hadi siku wana ondoka kurudi waliko toka huwa hawapelekwi maeneo mazuri.
Sasa huo muda wote vijana huwa huishi au hushinda wakiona umasikini tu na jinsi raia walivyo na masikini wa kutupwa, ni umasikini kweli kweli na haswa haswa, na huwa ni matukio ya kuogofya sana.
Wakirudi sasa huku huwa ni kama akili zimewaruka na muda wote huwa zile picha za matukio ya umasikini wa kule India zinawajia vichwani na ndio maana wanakuwa wakari mno mno kwa bishara zao au za Familia zao kwa sababu huwa wanahofioa sana umasikini na wanahisi wanaweza kuja kuwa wale ndugu zao kule India.
Hii michezo wanaifanya hawa wahindi wafanya biashara na lengo kubwa ni kuonyesha watoto wao kwamba wanapaswa kupigana kufa na kupona kwa ajili ya familia zao na kamwe wasifanye mchezo na hawa ngozi nyeusi sio ndugu zao na ndugu zao ni wale masikini wa India.
Wakirudi siku za mwanzo hawakabidhiwa miradi wasimamie mpanka wakae kichwa kitulie kama miezi kadhaa kwa sababu wanahofia wanaweza ua hata mfanya kazi anaye leta uzembe.
Kuna ambao hupata matatizo ya akili kabisa wakirudi kisa ni yale matukio walio yaona kule India.
Sema hawa expose hii ishu na ni Wabongo wachache sana wanajua hii trick ya hawa Jamaa zetu.
Hata kama kaenda kusoma India pia lazima akajifunze na Ubaya.
Huo ukari na ubaya ni kwamba huwa kuna watu maalumu wako India na hulipwa pesa kwa kazi hio,maalumu huwafundisha Vijana ambao hawajazaliwa India na kuwapigisha kambi kwenye yale maeneo yanye kiwango cha juu mno cha umasikini kule India ambako watu hawana makazi na wanalala mitaroni, wanaishi kwa kuzibua vyoo na kadhalika.
Kule hukaa kwa muda wa hadi mwaka mzima kwa wao kuzungushwa kuona Umasikini yaani hawapelekwi maeneo mazuri yenye matajiri hapana hupelekwa maeneo yenye umasikini mkubwa na hadi siku wana ondoka kurudi waliko toka huwa hawapelekwi maeneo mazuri.
Sasa huo muda wote vijana huwa huishi au hushinda wakiona umasikini tu na jinsi raia walivyo na masikini wa kutupwa, ni umasikini kweli kweli na haswa haswa, na huwa ni matukio ya kuogofya sana.
Wakirudi sasa huku huwa ni kama akili zimewaruka na muda wote huwa zile picha za matukio ya umasikini wa kule India zinawajia vichwani na ndio maana wanakuwa wakari mno mno kwa bishara zao au za Familia zao kwa sababu huwa wanahofioa sana umasikini na wanahisi wanaweza kuja kuwa wale ndugu zao kule India.
Hii michezo wanaifanya hawa wahindi wafanya biashara na lengo kubwa ni kuonyesha watoto wao kwamba wanapaswa kupigana kufa na kupona kwa ajili ya familia zao na kamwe wasifanye mchezo na hawa ngozi nyeusi sio ndugu zao na ndugu zao ni wale masikini wa India.
Wakirudi siku za mwanzo hawakabidhiwa miradi wasimamie mpanka wakae kichwa kitulie kama miezi kadhaa kwa sababu wanahofia wanaweza ua hata mfanya kazi anaye leta uzembe.
Kuna ambao hupata matatizo ya akili kabisa wakirudi kisa ni yale matukio walio yaona kule India.
Sema hawa expose hii ishu na ni Wabongo wachache sana wanajua hii trick ya hawa Jamaa zetu.