Wahindi wananyanyasa wafanyakazi wazawa makazini

Wahindi wananyanyasa wafanyakazi wazawa makazini

Cabeny

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
7
Reaction score
4
Kuna haya makampuni makubwa yanayomiliki viwanda na biashara nyingine kubwakubwa yanaleta wahindi nchini kufanya kazi, kwanza hatujui kama wanakuja kihalali au la. Na wakifika makazini wanapewa nafasi za juu, na ikitokea umegoma kumsujudia jua kazi hauna.

Serikali ianze kuwafatilia hawa watu ni kero sana makazini.
 
KUNA HAYA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAYOMILIKI VIWANDA NA BIASHARA NYINGINE KUBWAKUBWA YANALETA WAHINDI NCHINI KUFANYA KAZI, KWANZA HATUJUI KAMA WANAKUJA KIHALALI AU LA. NA WAKIFIKA MAKAZINI WANAPEWA NAFASI ZA JUU, NA IKITOKEA UMEGOMA KUMSUJUDIA JUA KAZI HAUNA. SERIKALI IANZE KUWAFATILIA HAWA WATU NI KERO SANA MAKAZINI.
Nyie watanzania mkipewa na kazi za juu mnawaza kupiga pesa tu ufanisi hamna.
 
Hizo ndio tabia zao.Wahindi nyumba moja unakuta walioingia nchini kihalali ni wachache na wengine kibao wameingia kimagendo na ndio maana wanaogopa polisi vibaya sana.
 
Juzi tu pia PAC wamesema veta kuna upungufu wa walimu hivyo wachukue wakufunzi kutoka uhindini na uchinani
 
Nakumbuka ex wangu wa kihindi ilikuwa akinizingua namzunguka namchomea police wanamlamba pesa tunagawana aliingia Tanzania ki mchongo.
 
Hizo ndio tabia zao.Wahindi nyumba moja unakuta walioingia nchini kihalali ni wachache na wengine kibao wameingia kimagendo na ndio maana wanaogopa polisi vibaya sana.
Wanao pokea rushwa na kuwaruhusu kuingia mbona ni wabongo wenyewe, hapo unamlalamikia nani? Walipita je uwanja wa ndege.
 
KUNA HAYA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAYOMILIKI VIWANDA NA BIASHARA NYINGINE KUBWAKUBWA YANALETA WAHINDI NCHINI KUFANYA KAZI, KWANZA HATUJUI KAMA WANAKUJA KIHALALI AU LA. NA WAKIFIKA MAKAZINI WANAPEWA NAFASI ZA JUU, NA IKITOKEA UMEGOMA KUMSUJUDIA JUA KAZI HAUNA. SERIKALI IANZE KUWAFATILIA HAWA WATU NI KERO SANA MAKAZINI.
Kwani una pingu za maisha hapo?
 
Back
Top Bottom