Wahitimu t i a june 2009

Kalunguine

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2010
Posts
2,543
Reaction score
134
Wan JF kama kuna waliohitimu taasisi ya uhasibu kwa mwaka wa masomo June 2008/2009 kama mimi. Na ambao hawajapata kazi kama mm. Najua wale waliokwisha pata kazi hawataguswa na hilin jambo. vipi kuhusu vyeti vyeti tushauriane tunafanyaje. Maana yule mzee MBAGO (Exams officer) na mmvi zake nadhani kazi imemshinda.

Ni aibu na Inaumiza sana hawa watu ma**** yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…