Wahitimu wa 2015 mpaka 2020 wapewe Ajira za Ualimu na Afya

Wahitimu wa 2015 mpaka 2020 wapewe Ajira za Ualimu na Afya

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu,

Naona awamu hii baada ya TAMISEMI kubanwa mbavu dhidi ya janjajanja za ajira za walimu na kada ya afya, sasa wameamua kuja kivingine na wengi hawawezi ng'amua kirahisi

Itakumbukwa kipindi cha Jk ajira za ualimu na afya zilikuwa zinatolewa kila mwaka na watu walikuwa hawa-apply yaani mfumo ulikuwa unazowa wote certificate mpaka degree kutokea vyuoni

Utaratibu ule haukuwacha mwalimu wa mwaka 2012, 2013 labda kwa uchache 2014 ambapo nao mwendazake aliwaajiri

Sasa hawa katika awamu hii TAMISEMI imewatoa wapi?

Tunahitaji Mama aingilie kati, vijana wa 2015 mpaka 2020 wapate ajira
 
Hao ni wahuni walikataa kuajiriwa serikalini na kukimbilia private sasa wamekuja kuwaharibia wadogo zao. Nchi ngumu hii.
 
Hao ni wahuni walikataa kuajiriwa serikalini na kukimbilia private sasa wamekuja kuwaharibia wadogo zao. Nchi ngumu hii.
Ni kweli kabisa..wengine walikua private sector sasa mambo yameyumba hapa katikati wameamua kuingia serikalini
 
Hao ni wahuni walikataa kuajiriwa serikalini na kukimbilia private sasa wamekuja kuwaharibia wadogo zao. Nchi ngumu hii.
Basi watakuwa wameacha gaps huko private. Changamkieni fursa.
 
Toka 2021 to date haujapataga tu issue yakufanya dah!!!😱😱😱
 
Hapo wameweka namba na mwaka wa kuhitimu kidato cha nne. So Kuna mtu kidato cha nne kahitimu 2008 but chuo 2015-19
 
Serikali haitoi hajira kwa hisani Boss ... sio msaada ni uhitaji plus uwezo wa kuajiri
Naam ndio maana nikasema kwa fikra kama zako hata miaka elfu 1, tatizo hili litakuwa palepale...

Hivi wenye jukumu la kuhakisha wasiokuwa na ajira wanapungua ni nani, kama sio serikali ?, either kwa kuwa na policies / sera zenye tija au vinginevyo....

Au unadhani kazi ya serikali ni kuwaambia watu hakuna ajira na waingie mitaani kujiajiri ?
 
Naam ndio maana nikasema kwa fikra kama zako hata miaka elfu 1, tatizo hili litakuwa palepale...

Hivi wenye jukumu la kuhakisha wasiokuwa na ajira wanapungua ni nani, kama sio serikali ?, either kwa kuwa na policies / sera zenye tija au vinginevyo....

Au unadhani kazi ya serikali ni kuwaambia watu hakuna ajira na waingie mitaani kujiajiri ?
Serikali imeajiri leo ... aliyepata amepata wengine tuvumilie
 
Back
Top Bottom