A
Anonymous
Guest
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha St. John's, Dodoma, mwaka 2023 bado hatujarejeshewa ada tuliyolipa, ingawa HESLB ilikuwa imelipa ada hiyo kwa chuo. Pamoja na tangazo la chuo la 06/09/2023 kuwa fedha zingerudishwa, hadi leo hatujalipwa, na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Tumekata tamaa.