Wahitimu wa vyuo walioko mtaani

naomba nikuambie una upeo mkubwa sana tatizo wengi hawatak ilo, plz ni pm jina lako na contacts zako!
 

ila acha dogo asome maana inaonesha amefanya tafiti za kutosha kuhusu hiyo archaeology,and more than ana connection na watu wanaodili na hiyo course.
 
mie naona sometimes we shld have to take risk for the others, hii inatokana na mfumo wa serikali yote hujajipanga vizuri,viongozi wanafanya kazi ya kujaza matumbo yao. ila tumewashtukia sasa,tushaanza kuweka mambo sawa kuepuka hicho chama chao tawala, so tunakwenda kubadilika kuanzia uchaguzi ujao 2015 hatutarudia tena makosa. Mie naona dawa ndyo hiyo tu.vinginevyo tutaendelea kuumia mpka wajukuu wetuwatachapika,au vip jamani?
 
C bora huyo wa archaelogy atleast ana uhakika wa kutoka,unakuta mkaka na misuli yake mingi eti anakomaa kusoma community development.,c ni heri mtu uishie zako form6 tu ukapge ishu zako than waisting your time.
 
......unakuta mkaka na misuli yake mingi eti anakomaa kusoma community development.,c ni heri mtu uishie zako form6 tu ukapge ishu zako than waisting your time.

heheheheeeee. 🙂
 
sasa ndugu yangu telecommunication kweli ujiajiri???? kwanza angalau uajiriwe upate uzoefu wa kazi then ndo ianze michakato ya kujiajiri,hata ukiangalia walojiajiri kama hawa maktech,techmaster na wengineo kwanza walianzia kwenye makampuni kama TIGO,VODA nk
au wataka labda nijiajiri mpesa,au kuuza vocha????
 

hawakutakii mema hawa,yani na bachelor au diploma yako upige ishu za mpesa? Kwanza unatukana course uliyoisoma kwa hali hiyo.
 
Watu sio wanapenda kusoma course za education ila hali ya ajira inafosi.So angalia hali ya ajira kabla ujaanza course fulan unaweza ukasota miaka 6 kitaa
 
sio kujipa moyo.... Ndio ukweli huo. Nimeangalia future na nikapata ushauri kwa mtu anayefanya kazi ya Archaeology Arusha.

Dogo kaza msuli ili ujiandae kwenda kushinda makumbusho ukingoja elfu 80-100 per month.teh teh teh!
 

kaka hata siku hiyo nayo ni inshu sana,watu wanataka wew kama wewe unanini cha ziada zaidi ya ufaulu wako,yaani kunatatizo sana kwenye mfumo wa elimu yetu....
 
ina maana nyie wote mnaoalalamika hapa hamna kazi au ajira?...mmesomea kozi gani?/zipi?
 
ina maana nyie wote mnaoalalamika hapa hamna kazi au ajira?...mmesomea kozi gani?/zipi?

hata kama tunazo ila hazikidhi mahitaji yetu kaka.Ajira zipo nyingi sema watu wanazikwepa kutokana na kiwango fulani cha elimu,mf kuna kazi za ufundi geleji,kuosha magari na ukondakta hizi zote haziitaji darasa ni akili tu ya kawaida inaitajika kufanya hizi kazi,sasa kwa muhitimu wa chuo unataka akachezee tope kwa kusaka mahela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…