Biblia inasema muonye mtu muovu, la sivyo damu yake nitaitaka mikononi mwako. Ninyi wahubiri, manabii na mitume wa kisasa mnajua kweli nguvu ya jina la Yesu? Hi
li siyo jina la kutamka hovyohovyo. Unakemea sijui pepo sijui laana nusu saa nzima unataja jina la Yesu. Kwa jina la Yesu, kwa jina la Yesu................! Mmetoa wapi huu upumbavu? Tuna mfano wa namna hii kwenye maandiko? Huyo Yesu wenu ni mwingine. Mmefanana na wale manabii wa Baali kabisa waliopiga kelele siku nzima kumtaja Baali. Jina la Yesu wa kweli linatajwa mara moja na linakamilisha ombi. Tunadhalilisha imani ya kikristo. Acheni hayo mazingaombwe yenu. Huo siyo ukristo na mwisho Yesu atawaambia wazi SIWAJUI. Huko maredioni mnalidhslilisha jina la Yesu mchana na usiku. Huyo Mungi wenu kiziwi. Kwa wasio wakristo naomba muelewe huo siyo ukristo. Hao wana Mungu wao mwingine japo wanatumia biblia. Na miujiza shetani pia anayo!
li siyo jina la kutamka hovyohovyo. Unakemea sijui pepo sijui laana nusu saa nzima unataja jina la Yesu. Kwa jina la Yesu, kwa jina la Yesu................! Mmetoa wapi huu upumbavu? Tuna mfano wa namna hii kwenye maandiko? Huyo Yesu wenu ni mwingine. Mmefanana na wale manabii wa Baali kabisa waliopiga kelele siku nzima kumtaja Baali. Jina la Yesu wa kweli linatajwa mara moja na linakamilisha ombi. Tunadhalilisha imani ya kikristo. Acheni hayo mazingaombwe yenu. Huo siyo ukristo na mwisho Yesu atawaambia wazi SIWAJUI. Huko maredioni mnalidhslilisha jina la Yesu mchana na usiku. Huyo Mungi wenu kiziwi. Kwa wasio wakristo naomba muelewe huo siyo ukristo. Hao wana Mungu wao mwingine japo wanatumia biblia. Na miujiza shetani pia anayo!