Wahubiri wakristo wa miujiza ni motivational speakers tu si zaidi

Wahubiri wakristo wa miujiza ni motivational speakers tu si zaidi

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Nawapa test kama ile test nabii Eliya aliyowapa manabii wa mungu wa uongo Baali. Waiteni kwenye makusanyiko yenu amputees( watu waliopoteza mikono au miguu) muwaombee warudishiwe viungo vyao. Si mnahubiri kwamba kwenye madhabahu zenu kwa jina la Yesu miujiza inatendeka??

Na si mnaalika watu kwa matangazo mengi waje kupata miujiza? Sasa mwaka huu alikeni na muweke wazi kwenye matangazo yenu kwamba amputees waje waombewe wapone. Si mnasema kwake yeye yote yanawezekana?

Sasa msemo huu uwe practical ili tuone mnamhubiri Yesu wa kweli. Otherwise ni kupumbaza akili za watu na kuwaibia pesa zao. Nawaachia hiyo test na ninasubiri matokeo.
 
Hongera kwa kumuandika na kumtangaza YESU muweza yote... Hilo unalotaka lifanyike hata Yesu hakulifanya kwasababu huo ni uumbaji wa Mungu uliokamilika hivyo si tatizo.

Hongera kwasababu unaonekana wew ni mtoto mzuri unampenda YESU, endelea kumtumainia Mungu atakuonyesha mema ya nchi.

Usipoteze muda kushindana na ya dunia, tumia muda mwingi kumtafuta Yesu ili uwe na mwisho mzuri...

Bwana YESU asifiwe
 
Hongera kwa kumuandika na kumtangaza YESU muweza yote... Hilo unalotaka lifanyike hata Yesu hakulifanya kwasababu huo ni uumbaji wa Mungu uliokamilika hivyo si tatizo...
Hongera kwasababu unaonekana wew ni mtoto mzuri unampenda YESU, endelea kumtumainia Mungu atakuonyesha mema ya nchi...
Usipoteze muda kushindana na ya dunia, tumia muda mwingi kumtafuta Yesu ili uwe na mwisho mzuri...

Bwana YESU asifiwe
Umesema hilo hata Yesu hakulifanya? Ulitaka hata kupona ukimwi tuseme Yesu hakufanya wakati wapo wahubiri leo wanatangaza uponyaji huo? Kuna amputee alipelekwa kwa Yesu? Au unamaanisha kwamba hilo hata Yesu lilimshinda? Be clear please!
 
Hongera kwa kumuandika na kumtangaza YESU muweza yote... Hilo unalotaka lifanyike hata Yesu hakulifanya kwasababu huo ni uumbaji wa Mungu uliokamilika hivyo si tatizo...
Hongera kwasababu unaonekana wew ni mtoto mzuri unampenda YESU, endelea kumtumainia Mungu atakuonyesha mema ya nchi...
Usipoteze muda kushindana na ya dunia, tumia muda mwingi kumtafuta Yesu ili uwe na mwisho mzuri...

Bwana YESU asifiwe
Nakurudia tena. Unasema ni uumbaji wa Mungu uliokamilika. Kwa hiyo kumponya mtu aliyezaliwa kipofu ambao kwa muono wako ni uumbaji wa Mungu uliokamilika ni kinyume na kanuni za Mungu? Maana Yesu alifanya hilo.
 
Kila kitu kina taratibu zake za kufanyika. Kama hauna uelewa usiropoke tu. Maombi ya nanamna yake ya kufanya kazi na matibabu ya yana namna yake ya kufanya kazi. Yani mnataka mtu ambaye hana miguu aombewe miguu itokee? Na sii mtu anayeumwa miguu apone? Akili yako ina tatizo mahali. Ngoja nikufundishe kidogo
1. Maombi sio kwaajili ya kila mtu itategemea uhusiano wako kati yako na Mungu, mapenzi ya Mungu , na imani yako
2. Maombi hutegemea tatizo lako, huweza kuondoa visababishi vya kishirikina vilivyosababisha upate tatizo na wewe kurudi katika hali ya kawaida na sio Kubadilisha Uumbaji wa Mungu dhidi yako.
3. Maombi hutumika kukusafishia njia ili wewe upambane kufanikiwa jambo

Ndio maana huwezi kukuta mtumishi anaombea mtu ambaye amekatika miguu ili miguu irudi. Lakini nikawaida kumwombea mtu ambaye miguu imeshindwa kufanya kazi ipate nguvu.
 
Umesema hilo hata Yesu hakulifanya? Ulitaka hata kupona ukimwi tuseme Yesu hakufanya wakati wapo wahubiri leo wanatangaza uponyaji huo? Kuna amputee alipelekwa kwa Yesu? Au unamaanisha kwamba hilo hata Yesu lilimshinda? Be clear please!
Sasa kumbe unahitaji kurudi Shule kwanza...
 
Kila kitu kina taratibu zake za kufanyika. Kama hauna uelewa usiropoke tu. Maombi ya nanamna yake ya kufanya kazi na matibabu ya yana namna yake ya kufanya kazi. Yani mnataka mtu ambaye hana miguu aombewe miguu itokee? Na sii mtu anayeumwa miguu apone? Akili yako ina tatizo mahali. Ngoja nikufundishe kidogo
1. Maombi sio kwaajili ya kila mtu itategemea uhusiano wako kati yako na Mungu, mapenzi ya Mungu , na imani yako
2. Maombi hutegemea tatizo lako, huweza kuondoa visababishi vya kishirikina vilivyosababisha upate tatizo na wewe kurudi katika hali ya kawaida na sio Kubadilisha Uumbaji wa Mungu dhidi yako.
3. Maombi hutumika kukusafishia njia ili wewe upambane kufanikiwa jambo

Ndio maana huwezi kukuta mtumishi anaombea mtu ambaye amekatika miguu ili miguu irudi. Lakini nikawaida kumwombea mtu ambaye miguu imeshindwa kufanya kazi ipate nguvu.
Asante kwa muda wako kunijibu. Je, kwa kadiri ya muono wako, utaratibu wa kumuombea amputee ni upi? Pili, wpi katika karne hii amputee aliombewa akarudishiwa viungo vyake?
 
Asante kwa muda wako kunijibu. Je, kwa kadiri ya muono wako, utaratibu wa kumuombea amputee ni upi? Pili, wpi katika karne hii amputee aliombewa akarudishiwa viungo vyake?
Nadhani unatafuta sehemu ya kupata huduma hiyo, ila umekuja kwa gia ya kuchallenge
 
Nadhani unatafuta sehemu ya kupata huduma hiyo, ila umekuja kwa gia ya kuchallenge
A big NO. Hakuna muujiza wa namna hiyo umewahi kufanyika japo kwenye ukatoliki there is one hearsay ya amputee aliyeponywa. Mimi siyo amputee na challenge yangu ieleweke hivyo. Kama hakuna majibu basi hawa wanaotangaza miujiza ni money mongers tu, nothing more.
 
Back
Top Bottom