A
Anonymous
Guest
Habari,
Kituo cha Kibamba wahudumu pale ni kero kubwa wana majibu ovyo, imeshakuwa kero kubwa itafikia hatua wananchi watajichukulia sheria mkononi.
Pia Dada anayekatisha tiketi ukidai Tsh 50 chenji anasema hana na ndio kinara wa kutoa majibu.
Tunaomba uongozi wa DART Mwendokasi mfanyie kazi hilo suala ikiwezekana chukueni maoni ya wadau pale ndo mtajua ukweli wa uovu waoo
Kituo cha Kibamba wahudumu pale ni kero kubwa wana majibu ovyo, imeshakuwa kero kubwa itafikia hatua wananchi watajichukulia sheria mkononi.
Pia Dada anayekatisha tiketi ukidai Tsh 50 chenji anasema hana na ndio kinara wa kutoa majibu.
Tunaomba uongozi wa DART Mwendokasi mfanyie kazi hilo suala ikiwezekana chukueni maoni ya wadau pale ndo mtajua ukweli wa uovu waoo