Wahudumu wa afya ifikapo 2030 watapungua kwa asilimia kubwa

Wahudumu wa afya ifikapo 2030 watapungua kwa asilimia kubwa

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,014
Reaction score
1,903
Kuna tafiti imefanywa na shirika la afya duniani(WHO) linaonyesha kuna uwezekano itakapofikia 2030 watalaamu wa afya dunia watapungua Sana.

Kiukweli hata hapa Tanzania ninakubaliana ya kwamba watalaamu wa afya watapungua tu nje na uzalishaji kuonekana mkubwa Ila mahitaji ni makubwa pia maana population inaongezeka, wagonjwa ,hospitali Ila idadi ya wataalamu inapungua.

Leo hii watu wamesoma afya baada ya kuona serikali haijaweza kuajiri kwa muda mrefu wameamua kufanya mambo mengine tofauti na afya.
 
.
Screenshot_20230628-083217~2.jpg
 
Watu wataendelea kusoma kama kawaida maana Afya ni fani ya kipaombele
 
Kikubwa ni kuinvest na kuhimiza kwenye masomo ya sayansi. Bila hivyo taifa litakua gumu sanaa 2030''
 
Technolojia nayo inakuja kwa kasi inachukua nafasi zao.
 
Kikubwa ni kuinvest na kuhimiza kwenye masomo ya sayansi.. Bila hivyo taifa litakua gumu sanaa 2030''
Mkuu, unafikiri shida ni kuinvest huko uliposema? Shida ni kwamba huko kwenye mataifa ya kwanza wataalamu wao watapungua, sasa wale waliokuwa-invested huku ulimwengu wa pili na tatu watakimbilia huko, kwa sababu ya malipo mazuri na mambo mengine.

Mwanzoni mwaka huu, bunge la Nigeria lilikuwa na mpango wa kupitisha sheria itayowabana wataalam, hasa hasa wa afya, kutoweza kuondoka Nigeria, kimasomo au kikazi mpaka pale watakapo fanya kazi ndani ya nchi yao kwa muda wa miaka mitano mpaka kumi. Wanaita Brain drain.
 
Mkuu, unafikiri shida ni kuinvest huko uliposema? Shida ni kwamba huko kwenye mataifa ya kwanza wataalamu wao watapungua, sasa wale waliokuwa-invested huku ulimwengu wa pili na tatu watakimbilia huko, kwa sababu ya malipo mazuri na mambo mengine.

Mwanzoni mwaka huu, bunge la Nigeria lilikuwa na mpango wa kupitisha sheria itayowabana wataalam, hasa hasa wa afya, kutoweza kuondoka Nigeria, kimasomo au kikazi mpaka pale watakapo fanya kazi ndani ya nchi yao kwa muda wa miaka mitano mpaka kumi. Wanaita Brain drain.
Bila kuwabana kwa maslai mazuri watakuwa wametwanga maji
 
Bila kuwabana kwa maslai mazuri watakuwa wametwanga maji
Kabisa mkuu. Hata ukiangalia hapa bongo, kuna zile program zilikuwa zinawalipa maC.O sio chini ya 2M per month.

Plus MDs wengi sana wanapambania wapate kazi mashirika ya kimataifa kwenye maslahi mazuri na opportunities za kutosha.
 
Mkuu, unafikiri shida ni kuinvest huko uliposema? Shida ni kwamba huko kwenye mataifa ya kwanza wataalamu wao watapungua, sasa wale waliokuwa-invested huku ulimwengu wa pili na tatu watakimbilia huko, kwa sababu ya malipo mazuri na mambo mengine.

Mwanzoni mwaka huu, bunge la Nigeria lilikuwa na mpango wa kupitisha sheria itayowabana wataalam, hasa hasa wa afya, kutoweza kuondoka Nigeria, kimasomo au kikazi mpaka pale !°
Nigeria ipo mbali sanaa kielimu,sanaa,ata teknolojia ukilinganisha na Tanzania, sisi wa Tz elimu yetu bado haina muelekeo yan atajui tunaenda wapi, kila uongozi ukibadilika na elimu inabadilika Hii hufanya tusiweze kufikia viwango kama hivyo... Ndio maana Kila kijana wakisasa anataka awe mwanasiasa.. Maslahi ya wanasiasa nimakubwa kulinganisha na wafanyakazi wa umma.
 
Back
Top Bottom