Wahudumu wa afya wa ziada waitwa kumhudumia Putin baada ya afya yake kudorora

West hawajawahi shindwa na kitu, Putin mshale wake wa sekunde unasoma kwa kasi,

Russian wajiandae kuweka mbadala wake.
Ww jifariji tu. Utasubiri sna kwa hilo na halita tokea. Putin amekaribia kuondoa Mawaziri wakuu wote wa Ulaya. Ana fichua siri zao. Hata vita ikiendelea miaka 2. Biden ata ondolewa pia.
 
Vipi majenerali wa Urusi wameisha?
 
Siku Putin akifa ndipo mtaona unafuu wake kwa dunia maana ajaye (Medvedev) anafurahisha. Atapiga siku moja mpaka Kyiv
Wangeanza kumwondoa huyo kisha Putin, kuna watu kila siku wanaingia ofisini kuwaza unyama kama huu
 
Mwanaume yeye hataki MANENO,,,,anaweka tu MZIKI......Na West wanaucheza vyema.....

Ogopa sana watu ambao huwa hawaongei,,,,ni ngumu sana kuwatabiri,,,,West wanaleta hio Propaganda ili wajue kama jamaa yuko poa au lah...,,,,Wanadhani PUTIN ni sawa na Hayati JPM ambae wapinzani walikuwa wakisema anaumwa basi anajitokeza ili kuwa prove wrong....

West watulie DAWA iwaingie,,,,,haiwezi kuwa rahisi hivo...

Acha tujipe muda
 
Kama vile hamna akili [emoji28][emoji28][emoji28]

Hivi mmeoiona afya ya Biden ilivyo mpaka sometimes ana kuwa ana sahau sahau hata mlango aliotumia kupitia kuingia ktk press nilidhani kwamba pro western mtatenga muda wenu kulijadili Hilo badala ya kukaa na kuanzisha propaganda za kipumbavu
 
Mbona putin ni mpole hv mnajua Medvedev kweliii tena kuliko kumuombea afe mwombeeni a baki maana kuna kipindi putin huwa na huruma
 
Huwa sielewi sababu ya West kumuogopa
Si unaona ameanzisha maangamizi Ukrain!, mamia ya innocent civilians wamepoteza maisha: hii ni sababu tosha kumuogopa
 
Wamarekani na waingereza hawahawa wanaopuuza taarabu zake za kuzuia Ukraine isisaidiwe silaha na wao wanaisaidia waziwazi? Au unazungumzia American chips ya pale kalangalala Geita.
 
Mungu ibariki Russia, NKorea, Iran, Venezuela, China,Tanzania na zote zinazokataa utumwa

[emoji682][emoji91][emoji91][emoji91]The Russian payment system "Mir" will soon start working in Iran, there are agreements on this matter - RIA Novosti with reference to the Deputy Foreign Minister of Iran[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…