Wahudumu wa Airtel ni uozo

Wahudumu wa Airtel ni uozo

Waterbender

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
7,573
Reaction score
10,063
Habari za muda huu,

Kama kuna muajiri wa Airtel humu wahudumu wako ni hovyo kabixa yan unapiga simu wanaongea na mteja kama kuna ugomvi hasa wanawake ni hovyo kabisa ondoeni hizo takataka zinawaharibia kazi na kama mko humu mjirekebishe mnaharibu na kuchafua kazi za watu kama umechoka andila barua uache kazi.

Asante
 
Piga Tena saizi wamepoa baada ya kusoma Uzi, nimeongea nao wapo poa Sana. Karibu tukuhudumie
 
Hata unipe line ya airtel yenye gb20000 sichukui mtandao wa ovyo sana
 
Kabixa ni lugha ya mashosti. Je, wewe ni shosti tukuungie kifurushi?
 
Back
Top Bottom