Wahudumu wa Bimamkononi wanatabia ya kufokea wateja

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kuna kampuni la simu wana huduma inaitwa bimamkononi unapigiwa simu na mdada anajitambulisha anakuelezea iyo bima una mjibu dada sihitaji anakwambia eti huna ata 4000 ujilinde na majanga.

Mkimjibu kiukali anakufokea sasa as if iyo simu ni uliazima kwao. Wadau na nyie mshawahi kukutana na kisanga cha hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…