Wahujumu wa mradi wa SGR Wamekwama katika awamu ya kwanza je wataendelea?

Wahujumu wa mradi wa SGR Wamekwama katika awamu ya kwanza je wataendelea?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.
wa kuua
Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kimsingi ilikuwa ni mwendelezo wa kuua Legacy ya Magufuli. Wahuni wamekwama japo wataendelea.

Kazi hiyo ndo wataitumia kuwanufaisha kisiasa 2024/2025. Hawana aibu
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwSerikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Uzi umekuchachia braza, ni masaa Zaidi ya 12 na hii ni commeny yangu ya nne tu.

Umechina kama samaki kajipange upya. Mtu wako kasahaulika mazima
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Sasa hii nayo unaiita mada ya kujadiliwa hapa?
Unazungusha maneno tu wala husemi ni nani hao wahujumu na walifanya nini kuhujumu!

Kama ni hizo pongezi, si ungeanza tu moja kwa moja na hizo na wachangiaji wangejuwa. Unataka serikali ipongezwe, sijui kwa kazi gani hasa iliyofanya ya kipekee hivyo!
Nimepoteza muda wangu bure hapa.
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Umeachana rasmi na Ile awamu yako pendwa ya 5? Kweli njaa haina baunsa. Awamu ya 5 ulimwaga povu sana JF, baada ya hitilafu ya kiufundu ya Maulana ukasusa Jukwaa sasa unatoa kichwa polepole kama Kobe. Shenzi.
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kweli kabisa na wahujumu wengine ni wabunge wenye mabasi na mabosi serikali wenye kupanga viwango vikubwa vya nauli ili wananchi waendelee kupanda mabasi maana ni rahisi wakishirikiana na wamiliki wa mabasi na malori!
 
Hayawi Hayawi yamekua sasa!

SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.

wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.

Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.

bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic inapopita SGR yaonekane hayafai ili kupunguza wateja.

wahuni hawa wanapanga mbinu ovu na chafu ili tu launching ya safari za SGR zionekane si lolote.

Ila niseme kudos kwa Serikali kwani naamini imeshawajua.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Acha uchawa wa kijinga, tuwekee hapa ushahidi wa rais wa nchi jirani anayehujumu sgr yetu.
 
Sasa hii nayo unaiita mada ya kujadiliwa hapa?
Unazungusha maneno tu wala husemi ni nani hao wahujumu na walifanya nini kuhujumu!

Kama ni hizo pongezi, si ungeanza tu moja kwa moja na hizo na wachangiaji wangejuwa. Unataka serikali ipongezwe, sijui kwa kazi gani hasa iliyofanya ya kipekee hivyo!
Nimepoteza muda wangu bure hapa.
Pongezi ni muhimu hili ni jambo kubwa sana
 
Mapema sana kuanza kujisifia

Kwa hiyo wenye daladala nao ndiyo wanahihujumu mwendokasi

Ova
 
Kweli kabisa na wahujumu wengine ni wabunge wenye mabasi na mabosi serikali wenye kupanga viwango vikubwa vya nauli ili wananchi waendelee kupanda mabasi maana ni rahisi wakishirikiana na wamiliki wa mabasi na malori!
Nyie hata msipo hujumiwa mtafeli sababu mnaleta siasa kwenye Mambo ya Sayansi.

Magari ya mwendo kasi yako wapi sasa?mtaacha kuservice hiyo line iwafie muanze kulaumu watu mnahujumiwa
 
Back
Top Bottom