Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wizi wa trillion 1.5 na zaidi.Sema uovu mmoja aliofanya
Sema uovu mmoja aliofanya
Thibitisha huo wizi wa 1.5 trilion.Wizi wa trillion 1.5 na zaidi.
Manunuzi ya meli hewa ya Mv Dar es Salaam
Kuwafuga na kuwalea watu wasiojulikana
Kuwajaza watu was kabila lake kila sehemu
Inasemekana kuna zaidi ya bilioni 800 zimefichwa Canada awamu ya 5!
Nimeletewa hii taarifa hadi nimeshangaa!! Of course hili jambo nilikua nalijua lakini nilikua nalijua juu juu tu Sasa nimeletewa data kamili,naambiwa kuna zaidi ya bilioni 800 zimefichwa Canada! Na hili lilifanyika awamu ya Tano na Doto james alikua hazina! Na inasemekana zilikua ni baraka...www.jamiiforums.com
Hakuna binadamu aliyekamilikaUsinisakame Magufuli alikuwa si mtenda haki, alikuwa mtukanaji, hakuwa mnyenyekevu, alikuwa mjivuni I, mwenye dharau na kebehi
CAG alishauthibitishaThibitisha huo wizi wa 1.5 trilion.
MATAGA jifunzeni kujibu hoja.Sasa unataka niamini ulichoandika ina maana wewe ni official source?Acha kukariri mambo yasiyo na uthibitsho. Mwenyekiti wa PAC alitoa majibu kuwa hakuna pesa no iliyoibiwa.
CAG yupi? Mbona Assad alipohojiwa pale ikuku ya magogoni na JPM mwenyewe alikana hizo tuhuma? Nenda Youtube kaangalie... uthibitisho mwingine?CAG alishauthibitisha
Acha upuuzi kwani hukumsia Nagwenjwa Kaboyoka?MATAGA jifunzeni kujibu hoja.Sasa unataka niamini ulichoandika ina maana wewe ni official source?
CAG yupi? Mbona Assad alipohojiwa pale ikuku ya magogoni na JPM mwenyewe alikana hizo tuhuma? Nenda Youtube kaangalie... uthibitisho mwingine?
Ila wapo waliobambikiwa kesi ya ugaidi, enzi zake hawakuwepoMbona hatusikii watu wakotekwa au kuokotwa maiti kwenye viroba, mbona hatuoni wanasiasa wakipigwa risasi hadharani lazima tujue nchi ilipotea njia
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.
Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania
Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.
My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Tumuombee kwa Muumba wetu amsamehe dhambi zake,sote tuna mapungufu,alikuwa na mazuri yake ambayo hata baada ya miaka mia hakuna wa kuziba pengo lake,tumepwaya vibaya mnoUsinisakame Magufuli alikuwa si mtenda haki, alikuwa mtukanaji, hakuwa mnyenyekevu, alikuwa mjivuni I, mwenye dharau na kebehi
Iweke hapa hyo sehemu ya wizi kwenye report ya CAG, kingine cha kukusaidia kwenye auditing ikitokea auditing query huwezi ukakimbilia kusema ni wizi moja kwa moja. Mtafute auditor yoyote akusaidie jinsi ya kusoma na kuelewa hizo reports. Haya tufanye ni kweli pesa ziliibiwa.. thibitisha uhusika wa magufuli kua yeye ndie aliyeiiba na sio maafisa wengine.Kasome CAG report achana na maigizo ya kwenye sinema
khaaaa ila wewe jamaa kibokoMagufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule wa historia.
View attachment 2057729View attachment 2057730View attachment 2057732View attachment 2057733
Nimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Awali ni awali tu, hakuna awali mbovu. Sisi wenye akili kauli ya kwanza ndiyo ukweli wenyewe.CAG yupi? Mbona Assad alipohojiwa pale ikuku ya magogoni na JPM mwenyewe alikana hizo tuhuma? Nenda Youtube kaangalie... uthibitisho mwingine?
TOKOMEZA WAHUNIKumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.
Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania
Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.
My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Aliwasaidiaje tabaka la chini?Hawataweza hao mabwanyenye uchwara. Tabaka la chini bado linamlilia Jpm.
Sheria ipi hiyo inayosema kuwa hoja za CAG zijibiwe na kamati za bunge badala ya serikali ambao ndiyo wanatumia pesa husika?Acha upuuzi kwani hukumsia Nagwenjwa Kaboyoka?
Kawaulize kwanini huku kanda ya ziwa bado wako na JpmAliwasaidiaje tabaka la chini?