Nimemkumbuka mmojaNimewakumbuka sana mates wangu tuliosoma jang'ombe pri . Sch mwaka 1988 std I darasa la bi laki na std II darasa la bi Mwanatau ama std IV darasa la Mw . Ahmed fadhil Km mtauona uzi huu tutafutane. Au km kuna unaefahamiana nae nijulishwe niwapatie ujumbe wao.
maadhi niaowakumbuka ni ,
1. Abdul kamili hassan
2. Said masoud
3. Hassan kijogoo
4. Hassan dhamiri
5. Hamis ali makarani
6. Mike costantine
7. Ramadhan Nyange
8. Issa
9. Wengine naomba waendelee km wamo
Hivi huyu mwalim Ahmed Fadhil ndio maarufu vijeans vile?Nimewakumbuka sana mates wangu tuliosoma jang'ombe pri . Sch mwaka 1988 std I darasa la bi laki na std II darasa la bi Mwanatau ama std IV darasa la Mw . Ahmed fadhil Km mtauona uzi huu tutafutane. Au km kuna unaefahamiana nae nijulishwe niwapatie ujumbe wao.
maadhi niaowakumbuka ni ,
1. Abdul kamili hassan
2. Said masoud
3. Hassan kijogoo
4. Hassan dhamiri
5. Hamis ali makarani
6. Mike costantine
7. Ramadhan Nyange
8. Issa
9. Wengine naomba waendelee km wamo