Wahusika NIDA msaada tafadhali

Wahusika NIDA msaada tafadhali

Daughter1994

Member
Joined
Jan 12, 2021
Posts
11
Reaction score
18
Hellow, naombeni msaada wenu.
Nina shida kwenye namba yangu ya NIDA.

MAJINA yangu yalikosewa kwenye NIDA Jina la katikati likakaa mwisho na la mwisho likakaa katikati yakatofautiana na ya kwenye vyeti vyangu vya
taaluma

Nikafuatilia ofis za NIDA wilaya , nikaelekezwa cha kufanya nkafuata hatua zote mpaka kupewa deedpoll.

Lakini mpaka Sasa majina yangu hayajabadilika Kwa lolote kwenye no ya NIDA (Sina kitambulisho).

Nikifuatilia wilayani blah blah nyingi na nmetumia gharama nyingi kipindi nabadilisha haya majina na fedha Sina tena.

JF Kubwa naomba msaada najua humu tuna watu wa NIDA au wenye ndugu humo mnisaidie kubadilisha hayo majina ntakutumia viambatishi vyoote na malipo yote nliyokwishafanya.

Sihitaji nkujue maana wengine hawahitaji kujulikana yaani wewe nisaidie tu. Nipo Kilimanjaro Mimi.
 
Hellow, naombeni msaada wenu.
Nina shida kwenye namba yangu ya NIDA.

MAJINA yangu yalikosewa kwenye NIDA Jina la katikati likakaa mwisho na la mwisho likakaa katikati yakatofautiana na ya kwenye vyeti vyangu vya
taaluma

Nikafuatilia ofis za NIDA wilaya , nikaelekezwa cha kufanya nkafuata hatua zote mpaka kupewa deedpoll.

Lakini mpaka Sasa majina yangu hayajabadilika Kwa lolote kwenye no ya NIDA (Sina kitambulisho).

Nikifuatilia wilayani blah blah nyingi na nmetumia gharama nyingi kipindi nabadilisha haya majina na fedha Sina tena.

JF Kubwa naomba msaada najua humu tuna watu wa NIDA au wenye ndugu humo mnisaidie kubadilisha hayo majina ntakutumia viambatishi vyoote na malipo yote nliyokwishafanya.

Sihitaji nkujue maana wengine hawahitaji kujulikana yaani wewe nisaidie tu. Nipo Kilimanjaro Mimi.
Pole sana
 
Nida watu hovyo sana
Niliachana nao, nilienda ofisi ya mtaa nilipojiandikishia kitambulisho wakasema hakipo nikaenda ofisi zao ili waniangalizie tu je kipo ofisi ipi au kilishatoka kuna jamaa nilimkuta pale alinipa jibu moja nikaona niondoke tu maana unaweza leta noma halafu ofisi za umma hizi ugali wa wanaokutegemea nyumbani ukayumba.

Kiufupi NIDA ni failed. Basi tu
 
Kati ya zoezi lililofanywa ovyo hapa Tanzania ni vitambulisho vya taifa Kwa ufupi walipewa iyo kazi waliilipua aswa waliokuwa wanafanya data entry yaani waliokuwa wanajaza taarifa kwenye computer kutoka kwenye forms walikuwa wakikosea kujaza taarifa za watu na wakiona herufi hawaielewi wanajijazia tu ili kumaliza kazi na pia forms baadhi walizipoteza na wakiikosa wanaachana nayo ivyo ilipelekea vitambulisho vingi kukosewa majina na taarifa za ndani yake kupelea yaani unaweza kuona kitambulisho kizuri tu ila taarifa zilizomo ndani zimekosewa na baadhi hazipo kabisa,like zoezi walitakiwa kabla ya kutoa vitambulisho kuakiki tena kama vipo sawa
 
Back
Top Bottom