Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Kama mmepiga marufuku matangazo ya kamari kwenye redio na TV, Pigeni pia marufuku kwenye SIMU.
Ni ngumu kukaa lisaa bila kupokea haya maujumbe (SMS) ya kamari kupitia simu za mkononi, unaweza ukimbilie kufungua simu kuhisi kuna kitu cha maana unakutana na Tangazo la kamari.
Swali lingine ni kwamba je haya makampuni ya simu yanapokea mshiko kiasi gani kutoka kwa makampuni ya kamari kwa kutumia namba zetu kujitangaza?
Na je kama haya makampuni ya kamari wanalipa haya makampuni ya simu kwa kuwapa namba zetu, Gawio la mteja wa simu lipo wapi hapo?
Mimi naamini kama kampuni la kamari liko njema halina haja ya kusumbuka kujitangaza, wateja wanavutana wenyewe, Kuna makampuni yako hapa bongo ambayo hayajawahi hata kutangazwa ila ukifika kwenye vituo vyao watu wamejazana,
Kimbembe cha hizi marufuku kitawakumba wengi makampuni ya kizawa, wanaoishi kiujanja ujanja wajanja.. sijui tano mazuka, sijui buko spot, sijui bum mapesa yani haya yatapata tabu sana. Na yatakayoumia ni yale yanayojitangaza kwa kusema tuma neno flani kwa namba flani kujishinda, haya ndio kwishnei..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu kukaa lisaa bila kupokea haya maujumbe (SMS) ya kamari kupitia simu za mkononi, unaweza ukimbilie kufungua simu kuhisi kuna kitu cha maana unakutana na Tangazo la kamari.
Swali lingine ni kwamba je haya makampuni ya simu yanapokea mshiko kiasi gani kutoka kwa makampuni ya kamari kwa kutumia namba zetu kujitangaza?
Na je kama haya makampuni ya kamari wanalipa haya makampuni ya simu kwa kuwapa namba zetu, Gawio la mteja wa simu lipo wapi hapo?
Mimi naamini kama kampuni la kamari liko njema halina haja ya kusumbuka kujitangaza, wateja wanavutana wenyewe, Kuna makampuni yako hapa bongo ambayo hayajawahi hata kutangazwa ila ukifika kwenye vituo vyao watu wamejazana,
Kimbembe cha hizi marufuku kitawakumba wengi makampuni ya kizawa, wanaoishi kiujanja ujanja wajanja.. sijui tano mazuka, sijui buko spot, sijui bum mapesa yani haya yatapata tabu sana. Na yatakayoumia ni yale yanayojitangaza kwa kusema tuma neno flani kwa namba flani kujishinda, haya ndio kwishnei..
Sent using Jamii Forums mobile app