Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

naona maradhi unayafuga mwenyewe toka lini mama ndio akawa father house unaona sasa matokeo yake hayo chukua nafasi yako kama kinara kwenye nyumba

Ndugu yangu umeshaoa?
Kuishi na mwanamke ni chalenji kubwa sana ndugu yangu kwani wana mauzi hawa viumbe we acha tu.
 
Inawezekana upo sahihi lakini inategemeana na aina ya simu yenyewe.
Ya kwangu mimi ni Blackberry 9700 ambayo inakupa option ya kusevu kwenye simu au sim card au vyote.
kaka wewe unatumia simu aina gani? Mchina?
duh kaka kumbe una mijihela weye, mie natumia simu ya kihindi hata ya mchina siiwezi kwa bei
 
ukilala vaa pensi yako ya jeans maana hali ishakuwa tete
 
Ndugu yangu umeshaoa?
Kuishi na mwanamke ni chalenji kubwa sana ndugu yangu kwani wana mauzi hawa viumbe we acha tu.
nimeoa muda mrefu tu ndoa ina 5 yrs old na mtoto wa kwanza ana miaka 7 ina maana ukiunganisha na uchumba kama 12 years hivi

nakusoma vizuri ila jaribu kuweka hali ya kimapenzi sawa hapa home maana kama shemeji amepanga nae kuiba nje inakuwaga ngumu sana kumrudisha kwenye mstari maana hawa wenzetu wakipenda na kukunwa vizuri nje uwa awarudi nyuma tena halafu ni wasiri sana

jaribu kuamsha mapenzi hapo home tena ili kuweka hali ya hewa kwenye mstari
 
ukilala vaa pensi yako ya jeans maana hali ishakuwa tete
na mke akiamka na wewe unaamka maana unaweza kukuta anaenda kuchukua bisu kwenye kabati

hapo inabidi ulale jicho moja limefumba jingine wazi ukichemka tu unajikuta kuzimu
 
Inawezekana upo sahihi lakini inategemeana na aina ya simu yenyewe.
Ya kwangu mimi ni Blackberry 9700 ambayo inakupa option ya kusevu kwenye simu au sim card au vyote.
kaka wewe unatumia simu aina gani? Mchina?

ni Kweli Ndiba me na lisimu langu nikiamisha kadi na message zinahama kama kawaida ..
 

na mama yao ni nyamayao
 
Waswahili walisema "Kimya kingi kina mshindo mkuu" au kwa ki English "Still water runs deep" Scratch your head
 
hivi toka akamate hizo sms mlishachinja kobe baada ya hapo?

Aisee nimecheka kweli.
kuchinja kobe!!
Kama ntakuwa nimekuelewa, jibu ni ndio 'tumeshapiga kazi' kama kawa.
 

kaka hapo hakijaeleweka , mimi nakushauri utumie muda mwingi nae ili kuhakikisha kuwa anaona wewe umegundua kuwa kosa lako ni kubwa sana na huoni kama msamaha aliotoa ni wa kweli.

njia moja ni kuwa kama unafanya kazi ya kuajiliwa omba likizo hata sku 3, ushinde nyumbani, ikiwezekana ugome kula, na ukisema kabisa kuwa huna raha na amani kwa kosa ulilo fanya, ninauhakika baada ya sk mbili hivi ataongea ya moyoni mwake, ni pale atakapoongea tu ndo ujue atakuwa ametoa mzigo moyoni mwake- trust. hiyo nimekusamehe tu kiulaini mimi siiiamini kama ambavyo wewe huiamini
 
hehehe ulano babu.
wacha ukome na kihoro kwanza kisha utajutia baadae.
mie nshajifunza sifumaniwi na wife tena.

wewe umeshindwa intavyuu ya kujiunga na infidelity side

 
Aisee nimecheka kweli.
kuchinja kobe!!
Kama ntakuwa nimekuelewa, jibu ni ndio 'tumeshapiga kazi' kama kawa.


basi we kazia hapo hapo kwanza...si ameshakusamehe....ila she is watching so watch out.

Then mwone Smiles...yeye atakutambulisha kwa katibu wetu, St RR ambaye naye atakupeleka kwa mweka hazina...ODM ukitoka huko utakuja kwa the King Teamo, baadaye M/kiti nitakupa final advice ya namna ya kudeal na hivi vitu...kuna sheria ulivunja mahali ndo yakatokea hayo...
 

Ah jamani humu ndani ya nyumba kuna wazoefu balaa..... yaani hii imetoka mdomoni (mkononi) mwa mzoefu haswa!!! Nimecheka sana sipati picha dume zima limegoma kula siku mbili kisa? Toba.
 
...Punguza hasira Nyamayao, hayo tunaita ni makosa ya kiufundi inaweza kukutokea hata wewe!:hand:
 
............ Perfomance ilikuwaje?--- ya kwake ??

Mwana jamii one bana!!
kusema kweli perfomance yake ilikuwa hot kama kawa ila mimi nilikuwa dorooo! Si unajua kiuoga uoga ile kitu inatakiwa kichwani usiwe na mawazo kabisa.
 
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.

Unapenda kula vya wengine, kwa nini na vyako visiliwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…