naona maradhi unayafuga mwenyewe toka lini mama ndio akawa father house unaona sasa matokeo yake hayo chukua nafasi yako kama kinara kwenye nyumba
duh kaka kumbe una mijihela weye, mie natumia simu ya kihindi hata ya mchina siiwezi kwa beiInawezekana upo sahihi lakini inategemeana na aina ya simu yenyewe.
Ya kwangu mimi ni Blackberry 9700 ambayo inakupa option ya kusevu kwenye simu au sim card au vyote.
kaka wewe unatumia simu aina gani? Mchina?
nimeoa muda mrefu tu ndoa ina 5 yrs old na mtoto wa kwanza ana miaka 7 ina maana ukiunganisha na uchumba kama 12 years hiviNdugu yangu umeshaoa?
Kuishi na mwanamke ni chalenji kubwa sana ndugu yangu kwani wana mauzi hawa viumbe we acha tu.
na mke akiamka na wewe unaamka maana unaweza kukuta anaenda kuchukua bisu kwenye kabatiukilala vaa pensi yako ya jeans maana hali ishakuwa tete
hivi toka akamate hizo sms mlishachinja kobe baada ya hapo?Jamani mbona kila mtu anashauri nimlinde 'Ndibalema' orijino?
Inawezekana upo sahihi lakini inategemeana na aina ya simu yenyewe.
Ya kwangu mimi ni Blackberry 9700 ambayo inakupa option ya kusevu kwenye simu au sim card au vyote.
kaka wewe unatumia simu aina gani? Mchina?
nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...wadada wa humu ndani wanaume wote mama yao mmoja....hakuna hakuna mwenye mama tofauti...tunayaona kila kukicha...upate wa kukupenda/kukupa heshima/kujali
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
hehehe ulano babu.Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.
Aisee nimecheka kweli.
kuchinja kobe!!
Kama ntakuwa nimekuelewa, jibu ni ndio 'tumeshapiga kazi' kama kawa.
kaka hapo hakijaeleweka , mimi nakushauri utumie muda mwingi nae ili kuhakikisha kuwa anaona wewe umegundua kuwa kosa lako ni kubwa sana na huoni kama msamaha aliotoa ni wa kweli.
njia moja ni kuwa kama unafanya kazi ya kuajiliwa omba likizo hata sku 3, ushinde nyumbani, ikiwezekana ugome kula, na ukisema kabisa kuwa huna raha na amani kwa kosa ulilo fanya, ninauhakika baada ya sk mbili hivi ataongea ya moyoni mwake, ni pale atakapoongea tu ndo ujue atakuwa ametoa mzigo moyoni mwake- trust. hiyo nimekusamehe tu kiulaini mimi siiiamini kama ambavyo wewe huiamini
............ Perfomance ilikuwaje?--- ya kwake ??Aisee nimecheka kweli.
kuchinja kobe!!
Kama ntakuwa nimekuelewa, jibu ni ndio 'tumeshapiga kazi' kama kawa.
Funza .................kobe anachinjwaje lol ................ nyie watu ama kweli JF ni stress abuzobahivi toka akamate hizo sms mlishachinja kobe baada ya hapo?
...Punguza hasira Nyamayao, hayo tunaita ni makosa ya kiufundi inaweza kukutokea hata wewe!:hand:nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.