Kama hujui haimaanishi haipo. Kenya tuna Riverwood. Ulizia ulizia utaambiwa.
hakuna chochote cha maana kwenye filamu bongo...huo ndio ukweli...hasira peleka tandale😀
Hahahaaa!. Hii imenizingua hadi mchuzi ukanidondoka mdomoni!.Filamu za Bongo jini likivuka barabara linakua makini.
Mnaishia kuigiza filamu maelfu lakini pumba tupu.
Hahahaaa, Mko na upuzi nyinyi!.. Kwa maswali tuu na majibu nkt, hamjambo!. Hadi mbavu ni uchungu mtupu.Sasa mkuu unakuta budget $3000 huyo jini akivuka barabara kizembe akagongwa na gari matibabu atalipiwa na nani 😀😀😀 kuwa na huruma na maisha ya jini bwana.
Riverwood ni 'film industry' huku Kenya chini ya kampuni nyingi sana za 'production', filamu zao ni nyingi na kuna zile ambazo zimejizolea tuzo nyingi na zikatizamwa kwenye sinema kote duniani, kama 'Nairobi Halflife', 'Veve' na nyingine hiyo iliyoshinda kwenye tuzo za filamu za Afrika 'Supa Modo' imekuwa nominated mwaka huu kwenye tuzo za Oscars kule marekani.Riverwood iko na filamu gani sokoni hapa EA.
Hahahaaa, Mko na upuzi nyinyi!.. Kwa maswali tuu na majibu nkt, hamjambo!. Hadi mbavu ni uchungu mtupu.
Riverwood ni 'film industry' huku Kenya chini ya kampuni nyingi sana za 'production', filamu zao ni nyingi na baadhi zao zimejizolea tuzo nyingi na zikatizamwa kwenye sinema kote duniani, kama 'Nairobi Halflife', 'Veve' na nyingine hiyo iliyoshinda kwenye tuzo za filamu za Afrika 'Supa Modo' imekuwa nominated mwaka huu kwenye tuzo za Oscars kule marekani.
Hahaha! [emoji23] Kwahivyo ndio maana jini likivuka barabara huwa linapiga hatua za kweli na za kupasua msamba kama za Idi Amin? Maskini jini, muwe mnalivalisha helmet basi. [emoji38]Sasa mkuu unakuta budget $3000 huyo jini akivuka barabara kizembe akagongwa na gari matibabu atalipiwa na nani 😀😀😀 kuwa na huruma na maisha ya jini bwana.
Filamu zetu huwa katika lugha mbili (kimombo na kiswahili). Kwa hivyo zile production za Swahili huwa ni lazima zipate ushindani toka za kwenyu ambazo pia hufanywa kwa lugha sawa. Kwa upande unaosalia wa kimombo hapo ni lazima baadhi ya waTZ wasiwe na hamu nazo kisa lugha inawapiga chenga.Ah tatizo mnakuwaga na upuuzi wa kuanza hivi halafu tunakuja kuwaacha,hamko serious ni kwamba filamu zenu bongo zimeshindwa ushindani au hamjatarget soko hili???
Filamu zetu huwa katika lugha mbili (kimombo na kiswahili). Kwa hivyo zile production za Swahili huwa ni lazima zipate ushindani toka za kwenyu ambazo pia hufanywa kwa lugha sawa. Kwa upande unaosalia wa kimombo hapo ni lazima baadhi ya waTZ wasiwe na hamu nazo kisa lugha inawapiga chenga.
Sijasema watz wote!. But a good number. Wewe waweza kuwa uko sawaBro sisi tunaangali filamu mpaka za kihindi na kifilipino,nini kiingereza bana!!!
Narudia, hakuna chochote cha maana kwenye filamu za Bongo, na kwa taarifa yako hakuna nchi isiyo na industry ya filamu hata Somalia wanayo.Kumbe hata huwa unatafuta cha maana humo kwenye filamu za bongo,binafsi sijui kama wakenya wana act filamu.
Imekuaje.Kenya wawazid ,Nigeria kwa movie industry.tupeane,siri ya mafanikio.Mkenya Nyce Wanjeri, aliyeshinda tuzo la muigizaji bora wa kike Afrika. Aliwafunika waigizaji wengi sana wa zile filamu za Nigeria za Nollywood, na yale mawigi na makelele yao. [emoji1] Hapo sawa!
Kuhusu filamu nyingi za Kenya kutoingia bongo siwezi sema lolote. lakini Kenya wana filamu nyingi tu zipo IMDB. Kitu ambacho kwa Tanzania sijakiona.Mko na moto ila hamna bahati,hakuna hata filamu moja imeingia bongo,au mmelenga wamarekani???
Lakini ya kwenu hata hapa Arusha hatujawahi kuisikia lakini sidhani wewe kama hujawahi sikia bongomovie?narudia, hakuna chochote cha maana kwenye filamu za bongo...na kwa taarifa yako hakuna nchi isiyo na industry ya filamu hata somalia wanayo...
Kuhusu filamu nyingi za Kenya kutoingia bongo siwezi sema lolote. lakini Kenya wana filamu nyingi tu zipo IMDB. Kitu ambacho kwa Tanzania sijakiona.
Lakini pia nikiwa kama Mtanzania, kwa filamu chache za Kenya ambazo nimezicheck, jamaa wako mbali sana. Kusema ukweli filamu za Bongo nilishaacha kuangalia siku nyingi sana maana hakuna userious wowote.
Ninazungumzia filamu za Kenya in Relation to Tanzania... Mbna unaenda off topic.... Kuna sehemu nilitaja hizo nchi ulizotaja ww?W
Wako mbali ya wapi mzee? Nakwambia hivi, tuna filamu za Kinigeria, Kisouth, Kihindi, Kighana. Zote tunatizama, filamu kuwepo IMDB haimaanishi ni bora, huo ni mfumo tu mzuri industry husika imeuweka kwa maslahi ya wasanii husika.
Labda nikiulize marehem kanumba angeishi hata mpaka mwaka huu,bongo muvie ingekuwa wapi pamoja na ku act mapenzi ya tajiri kumpenda masikini kila siku?
Hakuna kitu ndugu yangu unachojua kuhusu films industry. Kwa upande wa movie TZ ipo mbele ya Kenya.Ninazungumzia filamu za Kenya in Relation to Tanzania... Mbna unaenda off topic.... Kuna sehemu nilitaja hizo nchi ulizotaja ww?