Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

DAUDI alipoimba mavazi yalimtoka makusudi??????????
MIRIAMU alipoimba aliacha matiti wazi???? au NABII/MWAMUZI DEBORAH alikuwa akionesha mapaja yake kwa vimini ili amtukuze BWANA?
NATOA PONGEZA KWA WAMAMA WA E.A.G.T/T.A.G PALE MWIMBAJI KUTOKA AFRIKA KUSINI ALIPOKUJA WALIMPA KANGA AJISITIRI
 
Ukitaka kuzungumzia mavazi zungumzia mavazi, Nani alikuambia au ni wapi imeandikwa suruali ni nguo ya kiume?

Hakuna ubishi kwamba kuna mavazi kwa ajili ya jinsia ya kike, na mavazi kwa ajili ya jinsia ya kiume. Hii hata hivyo inategemea jamii uliomo inachukulia mavazi ya kike ni yapi na mavazi ya kiume ni yapi. Kwa jamii ya Tanzania, kwa hakika, Suruali ni vazi kwa ajili ya jinsia ya kiume. Katika nchi zingine kwa mfano Burma, Kaptula ni vazi la jinsi ya Kike, Scotland kwa mfano Sketi ni vazi la wanaume, wakati ambapo kwa Tanzania ni vazi la wanawake. Hivyo, katika jamii uliomo, inaeleweka wazi kwa kila mtu kuwa nguo za mwanake ni zipi na za mwananume ni zipi. Wanawake wangi siku hizi huvaa nguo za wanaume, kitu ambacho sio sahihi.

"The Bible principle is: a woman should not wear a man's clothing and a man should not wear women's clothing"


Read: Deutronomy 22:5

5 "A woman shall not wear anything that pertains to a man, nor shall a man put on a woman's garment, for all who do so are an abomination to the LORD your God. (NKJV).
 


1. Hakuna mwanadamu anayeweza kuratibu mwenendo na maadili ya mwenzake - KIPIMO hatuna ila Mungu ndie mwenye kipimo - kila MWANADAMU ana udhaifu wake - ila tunamsogelea Mungu kwa NEEMA tupate kutakasika kwa damu ya YESU -

2. Watumishi wa Mungu wanakula madhabahuni na WAIMBAJI WA GOSPEL watakula kwenye madhabahu ya Gospel - wakiimba na kumsifu Mungu

3. Hapo nilipoweka red - ANAYEKUKERA NA MWIMBAJI AU MWIMBO WENYEWE??? NI KWELI IMEKULA KWA SHETANI - kama umeamua kumwacha - sasa ubaya ni upi??? ni huo msamiati au???
Chuki binafsi haifai kwenye mtazamo wa mambo - kama wewe UNAKEREKA wengine WANABARIKIWA

Naomba ukereke na nyimbo za kumsifu shetani na wala sio Gospel songs - zinazomsifu MUNGU

 

Ni sehemu gani ya biblia imekataza mwanamke kuvaa suruari?
 
Muziki ni biashara, na wewe ukitaka anza kuimba kaswida kwa magita na vinanda, tena piga kaswida yako kwa mahadhi ya hot funky ndio itabamba kinoma, halafu utaitwa MBUNIFU
Sasa hapa kaswida zinaingiaje???!!!!!!!!! Wakati mwingine kama huna cha kusema ni bora ukakaa kimya kaka/dada.
 
Mkuu umenigusa ambapo hata mimi huwa kinanikela sana, kunatamasha la nyimbo za injili niliudhuria duuu nikaona bora hata ningeenda kuangalia twanga pepeta ni aibu kubwa sana. wale watoto wanajiita three sisters yaani niaibu walivaa mavazi ya aibu sana!
 
Unauliza kama kwenye biblia kuna sehemu inayoruhusu wanawake kuvaa suruali na mimi nakuuliza kwani kuna sehemu isiyoruhusu????!
 
Kuna mistari kwenye BIBLE ndio wanayoisimamia kwamba DAUDI alimwimbia MUNGU hadi nguo zikamvuka!! Binafsi siamini sana katika uimbaji wao
 
Kuna mistari kwenye BIBLE ndio wanayoisimamia kwamba DAUDI alimwimbia MUNGU hadi nguo zikamvuka!! Binafsi siamini sana katika uimbaji wao
Hata kama wanasimamia huo mstari, huoni kuwa wanachemka. Maana yake kama nimekuelewa vizuri mstari unasema Daudi alimwimbia Mungu hadi nguo zikamvuka na sio Daudi alivua nguo ili amwimbie Mungu. Au labda mimi ndio mgumu kuelewa nini??
 
<br />


Asaaaanteeeeee great thinker,Thats y i love Jf,unapata wamwaga upupu na wenye hekima na maarifa kama wewe!! Suruali ni vazi la wanaume,si lazima iandikwe katika lugha ya moja kwa moja,hata kwa akili tu za kawaida!!!
 
Hata kama wanasimamia huo mstari, huoni kuwa wanachemka. Maana yake kama nimekuelewa vizuri mstari unasema Daudi alimwimbia Mungu hadi nguo zikamvuka na sio Daudi alivua nguo ili amwimbie Mungu. Au labda mimi ndio mgumu kuelewa nini??
<br />


upo sawa kaka,Kuvaa mavazi ya kikahaba na unenguji na haina za kicheza music wa injili ni kwa Utukufu wa Shetani!!
Wenyewe utawasikia eti tunaimba na kucheza mbele za Bwana!!!
 
 
Muziki ni biashara, na wewe ukitaka anza kuimba kaswida kwa magita na vinanda, tena piga kaswida yako kwa mahadhi ya hot funky ndio itabamba kinoma, halafu utaitwa MBUNIFU

Duuuuuuh!!!!!!
 
Ukitaka kuzungumzia mavazi zungumzia mavazi, Nani alikuambia au ni wapi imeandikwa suruali ni nguo ya kiume?

ni vaz lakike.
na imezoeleweka ivo
suruali ni vazi la kike apa tanzania ata ulimwenguni kwa ujumla as common law.
 
Ukitaka kuzungumzia mavazi zungumzia mavazi, Nani alikuambia au ni wapi imeandikwa suruali ni nguo ya kiume?

classification ya nguo inategemeana na utamaduni wa jamii husika. Unaonaje ukiamka asubuhi umwone mwanaume amevaa sketi na skuna? utaona ni kitu cha kawaida?
 
Wanafanya kazi zao kulingana na mazingira, dunia inabadilika na kila kitu kinabadilika ili kuendana na mabadiliko hayo, suala la aina ya mavazi ni umamuzi wa watu maana hakuna aliyezaliwa amevaa suruali, sketi au blauzi. Ukienda nchi nyingine watu wanaingia kanisani wamevaa bukta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…