mtaje tu id yake ya zamn ni ipiDaah kweli aisee. Sijui nikutaje jina..???
Una sh ngap nikutajiemtaje tu id yake ya zamn ni ipi
Ile avatar yako ya KadinarAhahaha Jina Gani wakati Hili ndio Real Name..
mambo ya sh ngapi tena?Una sh ngap nikutajie
ila zile fununu anazosema mwanangu Da'Vinci zina kaukweli au vipi? kwa wairaqNilitest Kinyumbani Kidogo!
Ahahaaa[emoji3][emoji3]nilianza kusoma thread ila badae nikajiona bonge la pumbafu yaan
Aisee..kweli?Wamarayaaaaa sana. Hakuna watu rahisi duniani kama hao na wahaya
Hahaha...unaweza ukatukana buree mkuu.[emoji3][emoji3]Aisee nimebaki mdomo wazi
Yes, lakiniii.....Laway baba... najifunza Mzes baba.
Wairaq ni wazuri aseeh.