alisema muogope kama ukoma mtu ambaye mmekaa sehemu alafu akaleta mada ya kutambuana makabila
Tunatambuana kama ndugu tu sio kwa stahili unayofikiria wwalisema muogope kama ukoma mtu ambaye mmekaa sehemu alafu akaleta mada ya kutambuana makabila
kama ni hivyo tu mkuu basi hakuna shida
Ni hivyo tu mkuu tunawakumbuka mama zetu kwakuongea lugha waliyotufundisha kiswahili wengi tumekikuta kitaa tu so najisikia fahari napoongea lugha ya mamangukama ni hivyo tu mkuu basi hakuna shida
nimeona neno 'Mungu' tu hayo mengine sijaelewa kabisaLawo Lari Mukdoren, tam bar baki diriana ate aqo muk do wak..akh ba uzirie oang king/kung amorta dahh laq dita hot ne tlahhay mese ti khuan way oryo.. Anu ba imboru hhay sulle.. a inslereake irqoro takay GWAARAR INSLAWAMO MAR-AFAMO SAWA NG'IR GWAI, ate bar baki diria a inslaway.. Mungu nu Tsunqi
Alfred