Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Ukweli wakitambua umuhimu wa watoto wao kuwasomesha na pia wakijua uzazi wa mpango watafanikiwa sana na wataachana na kulalamika maana Kama una taaruma kichwani mwako jamii itakuhitaji tu
Sidhani kwa kusoma elimu ya dini utataka uajiriwe na serikali utaishia tu kulalamika
Kulalamika ndo jadi Yao!
Alafu wabishi sana. Imagine kuna shule jirani yetu wanawafundisha watoto komfuu nikamuuliza mwalimu wao kulikon eti akasema wanawafunza kujihami. Mh jamani pelekeni watoto kwe nursery skul za kawaida.
Haya Asante Ndugu.
Waislamu tumesikia na tutasoma, naomba umfikishie salaam Mufti Simba.
Wabillah Tawfiq.
waisilamu pelekeni watoto wenu shule wapate elimu bora, acheni kuwalalamikia ndugu zenu wakristo na kudai kuwa wanapendelewa! hamna upendeleo katika elimu jamani!!! hii ni jitihada za kuaandaa taifa bora!
huu ni ujumbe wa mufti idd simba, kupitia magazeti leo!
wala sio mimi Excel!