Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

Waislam weng wamezoea kulalamika kwamba wanaonewa. Hiv vyombo vya dola hamna? C waende wakakate rufaa? Wanaosahisha mitihan wote ni wakristo? Malalamiko yao hayana mantiki kuna mada 1 niliikuta hum jf et 'chuo kimoja cha kiislam vyuo kibao vya kikristo' mlitaka wakristo wawajengee vyuo? Au mlishawah kuanzisha chuo tcu wakawakatalia? Nonsens!!
 
Tatizo waislam wanajihisi kuwa ni wadhaifu hapa dunian,
 
Fikra na mawazo yao ni duni kama kuku aliyekatwa kichwa.
 
kwani waalimu ambao huenda kusahihisha mitihani ni wakristo watupu?au baadhi yao hawatoki zanzibar?kwanini wasiwaambie ukweli kuhusu madudu yanayofanywa na vijana bila kuzingatia dini?nadhani wanasahihisha jinsi mtu anavyojibu na sio majina.wazazi waaandae vyema watoto wao na wawapeleke kwenye shule bora na wenye shule wajaribu kujifunza kwa wenzao.wawatafute waalimu bora,wawalipe vizuri,shule ziwe na miundobinu bora ya kusomea,vifaa elimu vikiwa na vitabu,madawati,maabara na library.uongozi bora ulio na maono ya kitaaluma na sio wa kidini ikiwa ni pamoja na kufuatilia kwa ukaribu mwenedo wa wanafuzi kitabia na kitaaluma hakika watafaulu.mbona zipo shule za kiislamu zinafanya vizuri sana mfano taqwa na taqyafa za Mwanza.
 
Usiseme Waislam, sema CCM, maana sera ya udini ni mali ya CCM

Sio kweli hebu tucomment vitu vyenye ukweli, je ukiambiwa u prove utatuambiaje? "open your mind before opening your mouth"
 
Mi nadhani tungepewa fursa sisi waislamu ni nini tunataka kifanyike Baraza la mitihani badala ya kubaki na kusema tunaonewa, Hata kama top 10 ya management ya baraza la mitihani wangekuwa waislamu bado mambo yatakuwa yaleyale kama wanafunzi wa kiislamu hawajitumi kusoma, kwani management haiwezi kubadili matokeo ya mtu kwa style yeyote. Basi tutoe proposal ya kuwa na external supervisors kutoka nje ya nchi kama wanavyofanya UDSM ili akague usahihishaji wa mitihani hiyo.
 

hoja zao zte zna PROOF,ZINAELEWEKA NA KUAMINIKA na wa2 weny akili timamu na sio wny interest zao bnafc.ww Mzee wa njaa nna hofu kua umehongwa utoe mada hi ili upunguze njaa yko.
POLE SANA BRO...
 
Tatizo ni mfumo wa kiislamu na mtazamo wao kuhusu elimu.Mafundisho ya madrasa yanasisitiza zaidi elimu ya kiislam kuliko elimu ya kawaida na hivyo akili za waislamu kujengeka hivyo tangu utotoni. Waislamu wengi walioingia madrasa wakiwa wadogo wana kuwaga confused wanapoanza shule za msingi kwani wanshibdwa kujua wazingatie la mwalimu wa madrasa au la mwalimu wa shule ya msingi ambaye ni mkristo. Cha muhimu wasikimbilie ku-conclude kuwa wanafelishwa bali wachukue maprofesa wa kiislamu wakafanye utafiti wa kina wawape masheikh taarifa. Tatizo la kutoweza kutofautisha madrasa na elimu dunia ndo kinachowa felisha na wala si kuonewa.
 

kazi ipo kweli ndo mana wakalalamika ili njia mbdala zifuatwe.NA ZITAFUATWA.
 
kagazeti kenyewe kanaandikwa kienyeji sijui hata kama kina mhariri na waandishi wake kama wamesoma sana wameishia darasa la nne.hakina mpangilio wa uandishi ni malalamiko yasiona msingi kimejaa

lete proof.
 
kagazeti kenyewe kanaandikwa kienyeji sijui hata kama kina mhariri na waandishi wake kama wamesoma sana wameishia darasa la nne.Hakina mpangilio wa uandishi ni malalamiko yasiona msingi kimejaa

LETE PROOF.ucseme kila unalolickia sema kila unaloshuhudia..
 

2taanza na wa Mwana mtoka kudadadki zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…