Waislam hawana Imani na Baraza la Mitihani...

tatizo la ndugu zangu waislamu hawakumbuki walikotoka, kutwa kushinda vijiwe vya kahawa na kulalamika
waarabu walipokuja bara hawakufungua shule wao ilikuwa ni biashara ya karafuu na utumwa
walipokuja wamisionari licha ya kuwa watangulizi wa ukoloni walifungua shule na kujenga mahospitali
viongozi wetu wengi wamesoma shule hizo kama kikwete nk.
waislamu wakawazuia wenzao wasisome shule za makafiri wakabaki na kurithisha wanao dhana hiyo
wamefungua shule zao na vyuo lkn walimu wao nao wengi sio walimu wenye sifa
mnategema nini? angalieni wakristo shule zao hawabagui dini wala kabila
ndugu zangu dunia ya leo sio ya kulalamika chukueni hatua. chagueni kiongozi mwenye sifa
mneona wenyewe JK kawazika na mahakama ya kadhi huku mkiishi kwa ahadi 68 hewa za JK
amkeni ungeni mkono mageuzi ya kweli bila kuangalia dini wala kabila.
pelekeni watoto wenu shule zenye hadhi bila kujali dini
na mwisho waziri hachaguliwi kwa dini bali sifa,mlitegemea Nyerere amchague shekhe aongoze wizara?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…