Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka 2021 alipo kufa kiongozi wa nchi afande sele Alimtukana mungu akina kishki sure kipozeoo wanaojiita mashekhe walimsomeaa dua jee afande alikufaa? Au Allah hana uwezoo
Sijakuelewaa
Mbona we hujafa hutaki heri na kuishi maisha mazuriKwa muislamu halisi ukifa ni jambo la kheri sana kwa sababu unaenda kuishi maisha mazuri huko uendako
Kumbe umekuja kukashifu sio kujibiwa ....naamini hutojibiwa chochote na wenye Imani yao.Nani kasema sasa kama kiongozi wako alibaka mtoto wa miaka6 ndio ataishi vizuri
Kama ni kweli walisoma wamekosea maana maisha na kifo viko mikononi mwa Allah pekee, na mtu hapaswi kupangia mambo ambayo ni katika mamlaka ya Allah. Badala yake, waumini wanahimizwa kumuombea mtu afya, msamaha wa dhambi, na rehma.Ili afe kwa sababu alimtukana mungu
Sheikh wangu we utakuwa ulishakufa bila shaka. Sidhani kama utakuwa hai.Kufa ni faida, adhabu ya kuishi ktk tabu huku ukiendeshwa na mapepo ni mbaya sana
Kwani walimsomea afande ili afe au walimsomea ili kumrehemu?Mwaka 2021 alipo kufa kiongozi wa nchi afande sele Alimtukana mungu akina kishki sure kipozeoo wanaojiita mashekhe walimsomeaa dua jee afande alikufaa? Au Allah hana uwezoo
Kabisa sheikh wangu...kabisa. allahamdulilah leo nimemsoma mtu mwenye ili adhimu ya uelewa kama hiiKama ni kweli walisoma wamekosea maana maisha na kifo viko mikononi mwa Allah pekee, na mtu hapaswi kupangia mambo ambayo ni katika mamlaka ya Allah. Badala yake, waumini wanahimizwa kumuombea mtu afya, msamaha wa dhambi, na rehma.
Akufilie mbaliKwani walimsomea afande ili afe au walimsomea ili kumrehemu?
Kwahiyo Afande alikuwa Strong enough kuliko vitabu?Akufilie mbali