Waislamu Waamua kumwaga Ugali baada ya CCM kumwaga Mboga


Hizo ni propaganda tu wala asiwasemee waislam. Alikaa nao wapi. Anakumbusha machungu ili aonekane na yeye kwenye mgao anafaa. Wote UKAWA ni wasaka tonge.
 
Kwani UKAWA ni kikundi cha kidini? Huyu mwakilishi wa dini alikuwa anataka nini kwa wanasiasa au UKAWA ndiyo walimwita.

lakini watu wa UKAWA wana dini zao, na wengine pia tunaheshimu dini, haijalishi ni ya aina gani.
kwa hiyo dini ina nguvu katika hili
 
Kwa hiyo hoja yako ni ipi mkuu?

Hiyo ni sura ya nne, ambayo inaongelea Malengo ya kitaifa na haki mbalimbali zilizo gawiwa kama njugu, lakini mwisho wa siku zikapigwa pini na ibara hiyo.
 
Mkuu,
Kasome vizuri kifungu hicho kwenye Rasimu ya MWISHO ya Katiba inayopendekezwa utajigundua umepotosha! Hata hivyo nitakusamehe bure kwa kuwa Rasimu zimekuwa nyingi inaweza kuleta confusion! Namshangaa hadi kinara wa UKAWA Tundu Lissu naye amenukuu vibaya kama ulivyofanya wewe! Huyu naye tunamsamehe bure maana alikimbia mjadala Bungeni hajui kilichoendelea!
 
we ------ acha uchochezi wa kidin waislam gani unaozungumzia mbona mm ni muislam lakin nshaona ukawa ni wapuuzi mi naitambua chadema siitambui ukawa bwana acheni ushoga waislam wengine tunaikubali katiba
 
tena siku nyingine usirudie kuandika usenge kama huu!!! msitufanye ss waislamu mazuzu !!!
 
Yap, tulipinge lakini tusilifanye mtaji wa kisiasa!
Hilo ni sawa kabisa hili suala ni vyema lifanyiwe mtaji ili tupate faida hapa.Chama cha CCM pamoja na hii serikali ya sasa iliyo madarakani ,kwepo kwake madarakani kumechangiwa zaidi na waumini wa dini ya kiislam na sasa kutokana na hizo taarifa za kidhalimu zilizofanywa na hii serikali chini ya chama cha ccm mimi binafsi nafikiria huu ndio muda muafaka wa kubadili views za waislam kuhusu hichi chama.Lazima waislam wote nchini wamjue adui yao ni yupi ili wengi wao waamue kujikita kwa vyama vingine vya upinzani kama vile cdm ambacho ndicho kiko tayari kuchukua uongozi nchini hivi karibuni.
Waislam huu ndio wakati wao wa kulipiza kisasi kwa kwenda kinyume na ccm ,hata ndani ya kitabu chao cha dini wameruhusiwa kulipiza kisasi na kuna sura nzima iliteremshwa kuhusu kulipiza kisasi.Hebu fikirieni sheikh mzima alawitiwe,sijui hiyo jeuri waliitoa wapi mpaka kufikia kufanya hivyo.Ile misemo yote aliyoitunga marehemu mzee Kambarage Nyerere yenye lengo la kukijenga chama chake sasa tungeanza kuirudisha na kuitumia kukivunja chama tawala.Kwa mfano,"Amka wakati ni huu"hii tunaweza kuitumia ktk kuhamasisha watu ili kuziamsha hisia na mioyo yao dhidi ya chama tawala.Najuwa kuna baadhi ya watu hawawezi kufurahia hii thread yangu lakini ukweli ni kwamba hichi chama umefikia wakati wa kupigwa vita na waislam,hakiwezi kucheza na waislam namna hii na tukaendelea kukipatia votes zetu.Enough is enough.M/Mpamba.
 
Acha kuwatumia waislamu kama mtaji. Waislamu sio watu wa kuyumbishwa.
 
wenye roho mbaya wanajaribu kuipaka matope CCM, hii ni sawa na kuizuia mvua isinyeshe utaishia tu kupigwa radi. Mkisoma habari humu mjaribu kuzifanyia utafiti kwanza kabla ya kuchangia mada. hii ni tahadhari tu usije ukakimbiza kuku umevaa taulo
 
wenye roho mbaya wanajaribu kuipaka matope CCM, hii ni sawa na kuizuia mvua isinyeshe utaishia tu kupigwa radi. Mkisoma habari humu mjaribu kuzifanyia utafiti kwanza kabla ya kuchangia mada. hii ni tahadhari tu usije ukakimbiza kuku umevaa taulo
ccm ni sawa mgonjwa yupo ICU muda wowote anaweza kufa.
 
They can go to Saudia and practice Sharia/Kadhi et all, but not in Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…