Waislamu Waamua kumwaga Ugali baada ya CCM kumwaga Mboga

unaposema waislamu as if ni wote-kumbe ni kikundi cha watu wachache wenye hayo mawazo-rais na makamu wake wenyewe waislam-unategemea hawa wakae upande gani?achen kulalama fanye ni mambo ya msingi-wameshindwa ISS na wengne mtaweza nyie?
 
hivi haya maccm na maukawa mbona yanaleta kichefuchefu.
 
Ningekuwa kiongozi wa UKAWA, nisingeruhusu hii propaganda. Huwezi kujenga taifa ukianza na kulibomoa vipande vipande kwa misingi ya dini kwani ndiyo mwelekeo wa ukabila na mwishowe mgawanayo waukanda kama inavyotangazawa na CCM.
 
t
tupatie mrejesho mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…