#COVID19 Waitara: Nilipata wimbi la nne, kwasababu nilikuwa nimechanja niliendelea vizuri

#COVID19 Waitara: Nilipata wimbi la nne, kwasababu nilikuwa nimechanja niliendelea vizuri

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Naibu waziri Mwita Waitara akiwa Azam amesema alipata Covid ya wimbi la nne na kupona. Waitara amesema kwa kuwa alikuwa amechanja alipata dawa kidogo na kupona.

Pia Waitara ameongelea mabasi ya mikoani kupandisha nauli na kusema sio nguvu ya soda na wako tayari kwa Januari na kipindi cha watoto kwenda shule, amewataka LATRA kukaa kila kona.
 
Sijachanja
Sijui kama hii homa iliyowapata wengi ndio wimbi lenyewe la nne. Ila nimepona
 
Mm pia nilipata wimbi la nne. Sijachanja lkn naendelea vizuri.

Au tusiochanja haturuhusiwi kujimwambafai??
 
Huyo aliamka na hangover ya konyagi anadai alipata Corona? Huyo ni mlevi mbwa analewa hadi anasusu kwenye sarawili
 
Huyo aliamka na hangover ya konyagi anadai alipata Corona? Huyo ni mlevi mbwa analewa hadi anasusu kwenye sarawili
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna wimbi la nne

20211220_060450.jpg
 
Mm pia nilipata wimbi la nne. Sijachanja lkn naendelea vizuri.

Au tusiochanja haturuhusiwi kujimwambafai??
Sisi ni kinga zetu zipo konki mkuu, mimi sijapata hata wimbi moja

Ila wakitoa chanjo za kudumu kama zile ndui sijui ntachanja ila hizi za kutoboa kila mdudu anapokua updated hapana sichomi
 
Huyo aliamka na hangover ya konyagi anadai alipata Corona? Huyo ni mlevi mbwa analewa hadi anasusu kwenye sarawili
Nasikia watoto wa mjini wamemfanyia sana vitu mbaya kule ukonga kwa ulevi wake.
 
Anapingana na waziri mkuu? Kassim majaliwa alitangaza kwamba hakuna wimbi la nne tz.​
Itabidi kwenye mahojiano yajayo aseme alipata maambukizi akiwa Nchi jirani.
 
Labda alipiga gongo
Naibu waziri Mwita Waitara akiwa Azam amesema alipata Covid ya wimbi la nne na kupona. Waitara amesema kwa kuwa alikuwa amechanja alipata dawa kidogo na kupona.

Pia Waitara ameongelea mabasi ya mikoani kupandisha nauli na kusema sio nguvu ya soda na wako tayari kwa Januari na kipindi cha watoto kwenda shule, amewataka LATRA kukaa kila kona.
 
Back
Top Bottom