Napenda kuwashirikisha ndugu zangu katika hili tuache siasa na tusimamie ukweli.
Ninao ushahidi wa kutosha juu ya hili mwanafunzi wa dipl ya nersing hajui hajui hata kutoa first aid kwa mgojwa hata dose ya dawa hajui sio mmoja hii ni mefanya kwa watu 5 tofauti.DR (AMO) hawa nao noma c.o awajui hata mgojwa hanaumwa nini wanaishia kuandika dawa tu kwa mgojwa walimu wanatumia vitabu kufundishia wanafunzi hawaja tambua makosa ya vitabu vyao mpaka Mbatia aseme wala hawaja waikulalamika juu ya hili hizi ni baadhi ya kada ambazo mm nimefanya utafiti
je kwingine kukoje na nani wakulaumiwa?
Ninao ushahidi wa kutosha juu ya hili mwanafunzi wa dipl ya nersing hajui hajui hata kutoa first aid kwa mgojwa hata dose ya dawa hajui sio mmoja hii ni mefanya kwa watu 5 tofauti.DR (AMO) hawa nao noma c.o awajui hata mgojwa hanaumwa nini wanaishia kuandika dawa tu kwa mgojwa walimu wanatumia vitabu kufundishia wanafunzi hawaja tambua makosa ya vitabu vyao mpaka Mbatia aseme wala hawaja waikulalamika juu ya hili hizi ni baadhi ya kada ambazo mm nimefanya utafiti
je kwingine kukoje na nani wakulaumiwa?