Wajameni..., mbona Tz maajabu hayaishi?!

Geezzle

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
849
Reaction score
267
Nimeshangazwa Tanzania kuwa na miss asiyekijua kiswahili kwa ufasaha!anakiri kwamba kiswahili chake sio kizuri eti ata2mia muda atakaokuwepo kujifunza na kukieneza!.NB:hivi inawezekana vp taifa kuwakilishwa na mwananchi asiye na chembe ya taswira(national identity) ya taifa husika?!.Ndo maana shindano la miss tz lmekua likipoteza mvuto kila uchwao.Kweli tz ni zaidi ya uijuavyo!
 
hahha kasema lini mkuu? nmeipenda!!
 
Hao hawatakiwi hata kupewa bendera wanapoenda huko nje. Shenzy kabsa
 
haya mashindano ya badilishwe jina yaitwe miss lundenga,simple
 
haya ni matunda ya dot. com schools, kule masomo yote ni ungenge tu -

yes hili ni tatizo wizara ya elimu na ile ya utamaduni wakae chini.
 
Yale yale ya big brother....vimeo kila pande hii ndio TZ yetu!
 
SHAME ON YOU..Uncleee..kazi yako kuwatafuna tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…