Freeman Patrick
Senior Member
- Jul 10, 2012
- 132
- 13
jirekeshe kaka!!! nadhan umeipata proof yang..naomba uninukuu sehem nilipoponda vyuo vingine kumbe nawe na mlopokaji? Niambie wapi
Jamani,narudia tena kusema kwa msisitizo,kama last week kuna moja ya kozi yako no matter ilikua 1st choice au last choice ilibadilika na kuwa not eligible basi elewa ndio umechaguliwa hapo.kama hakuna changes yoyote iliyotokea,basi get ready for 2nd round of application.asanteni kwa ushirikiano wenu.
NB:Kulikua na system error,badala ya system kuandika neno selected yenyewe ikaandika not eligible,nadhani wote mnajua ni jnsi gani nchi yetu tulivo nyuma kiteknolojia,so neno not eligible lilitumika kama kumark watu waliochaguliwa.
Jamani,narudia tena kusema kwa msisitizo,kama last week kuna moja ya kozi yako no matter ilikua 1st choice au last choice ilibadilika na kuwa not eligible basi elewa ndio umechaguliwa hapo.kama hakuna changes yoyote iliyotokea,basi get ready for 2nd round of application.asanteni kwa ushirikiano wenu.
NB:Kulikua na system error,badala ya system kuandika neno selected yenyewe ikaandika not eligible,nadhani wote mnajua ni jnsi gani nchi yetu tulivo nyuma kiteknolojia,so neno not eligible lilitumika kama kumark watu waliochaguliwa.
Kama kaukweli ukweli hivi! Lakini mbona ilirudi kuwa kawaida? Tetea hoja yako kwa uthibitisho kuntu.
kuna matatzo ya system ndo maana ukaona hvo,na lile neno not eligible lilikuja baada ya system kushndwa kuandka neno selected.swali lingine?
huwez kuona mkuu mana ulijumuisha vyote(hamna chuo kinachotoa ma engineer wazur kama ud),nadhan umeelewa. Ila ckua na dhumun la kubishana na wewe,nlitaka tu ujue ulichosema hakikua kizur hasa kwa wenzetu ambao hawakufaul fresh kama wew na wengine,angalia maneno yako mana kuna watu wana kwazika bila wew kujua...JIREKEBISHE!LORDVILLE umenukuu vizuri sasa jina la chuo sijaona, au wewe unaona sehemu imeandikwa DIT, TEKU, SAUT, ST JOHN, MIST, UDOM etc hapo? Poa tungoje matokeo.
sina sababu ya kukufanya uniamini!
Ha ha ha... Slaker inaonekana ww ndo ulikuwa unakariri physics na ndio maana ikakushinda, tena nahisi uliikimbia ukaenda arts 4m3! Wajanja 2naiweza na ndio maana 2mefaulu o level, advance na 2naendelea nayo chuo kikuu...
Hayo maneno 2, wapi proof?? Hata me naweza sema nilikuwa T.O!
from wat i know,tz kuna waandisi mabosi(wasmamizi wa miradi ya halmashauri 2) lkn waandisi labda wakujenga mtaani....huku.kwanza tz hakuna mwandisi hata 1,,,,