Wajanja wanavyoitafuna nchi kimya kimya

Wajanja wanavyoitafuna nchi kimya kimya

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
IMG_20211215_120353.jpg

Mtandao wa kubook tiketi za treni ni mzito sana, baada ya kufunguka unakutana na ujumbe huo.
Wewe umegundua nini hapo😁😁?

Watu wanataka kufunga hesabu zao mwisho wa mwaka wasepe. Ndio maana nasema sasa hivi ukipata fursa piga tu hakuna mzalendo tena. Kila mtu anaangalia tumbo lake.
Tanzania Railways Corp Kadogosa anajua kweli kama kwa sasa huwezi kubooking online?
 
View attachment 2044889
Mtandao wa kubook tiketi za treni ni mzito sana, baada ya kufunguka unakutana na ujumbe huo.
Wewe umegundua nini hapo😁😁?

Watu wanataka kufunga hesabu zao mwisho wa mwaka wasepe. Ndio maana nasema sasa hivi ukipata fursa piga tu hakuna mzalendo tena. Kila mtu anaangalia tumbo lake.
Tanzania Railways Corp Kadogosa anajua kweli kama kwa sasa huwezi kubooking online?
Nikajua tiketi ya Emirates Airlines, DAR-SYDNEY, 4700 USD return -Business Class kumbe huo upupu
 
Nikajua tiketi ya Emirates Airlines, DAR-SYDNEY, 4700 USD return -Business Class kumbe huo upupu
Mkuu mbona iyo ni kidogo sana ama ni Dar- Jakarta? Mimi LAZIMA nisafiri Australia mara 2 KWA mwezi business trip na safari zote business class nalipa 15k go return.
 
Back
Top Bottom